Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Aiseeeh ! Pole sanaHii imeniumiza sana mkuu seriously nimekua disappointed
Ulikuwa na malengo naye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeh ! Pole sanaHii imeniumiza sana mkuu seriously nimekua disappointed
Nimekukumbuka sanaHuko disco/club mnataka mjazane wanaume watupu. Una agenda gani wewe
Sio nivumilie hiki kitendo kinafanya mtu kushindwa kuwa na malengo nae aiseeeeNext time nenda naye ukambambie mwenyewe, ila kwa sasa, vumilia dawa ikuingie vizuri 😆
Nipo hapa mkuuNimekukumbuka sana
Atajijua mwenyewe nime tupilia huko mimi aiseeee..Ukimuoa atatulia
Wewe ndo hujui kuchagua. Wadada waliotulia wapo wengi tuAtajijua mwenyewe nime tupilia huko mimi aiseeee..
I can't wait my only children to have foolish mather
Wapi hapo? Disco?Nipo hapa mkuu
Sasa just imagine ni mtu wako katoka kaenda kufanya huo utopoloHuko disco/club mnataka mjazane wanaume watupu. Una agenda gani wewe
Ndio mkuuWapi hapo? Disco?
SubhanaAllah!Unaona wanafaidi sana kubambiwa?
Basi kabambiwe wewe. Utafirimbwa.
Kulewa is not matter but kwann abambiwe why awe chakula ya waimba singeli broosiku moja nimeinusa ile kitu inatema mmmhh daah! Nikajiuliza mtu anakunywaje huu uozo
Sawa, mikatiko mema.Ndio mkuu
Sio malengo tuu...Aiseeeh ! Pole sana
Ulikuwa na malengo naye?
Wewe ndo mwenye shida, sasa mdada kulewa na kubambiwa tàtizo liko wapi? Kàma huna hela za kumlewesha na kumbambia anakuona tàkataka tuu.Sio kulewa tuu yaani anakwenda mpaka disco na anaweka status anavyo bambiwa.
I don't know hawa watoto wana shida gani ni malezi au ndo kujiendekeza tu.
Njoo unibambieSawa, mikatiko mema.
kuna kitu inaitwa kujiheshimu mkuu hii watu wengi hawana saiviKulewa is not matter but kwann abambiwe why awe chakula ya waimba singeli broo
Mkuu sio kwamba sijui kuchagua.. kuna mijitu inajificha sana katika kupindi cha courtship...Wewe ndo hujui kuchagua. Wadada waliotulia wapo wengi tu
Damn!!!!Sio malengo tuu...
Just nimemtafutia hadi kazi ya kufanya aiseee na sio kwamba hayupo smart yupo smart ila manina zake yule kajua kuniudhi aiseee
Ndo hawa mashaitwani waliobaki mjini hapaSubhanaAllah!