joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Sasa kuna mwengine pisi kali kweli kweli,ila inakula bangi na mitungi kwa fujo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😅 Tuwekee clip tuoneeeYaani wee acha tuu..
Analewa
Anabambiwa
Anakatika mbele za watu
Bado anabambiwa
Mkuu ukitaka asiyeshiriki hayo kaweke kambi kwenye makanisa ya kiroho huko utawapata wanaovaa magauni ya vitenge wiki nzima. Angalizo; sio wote wanamaanisha kuwepo kule😃😃Hii imeniumiza sana mkuu seriously nimekua disappointed
Paaaap unamfaham kiundani zaidi😊😅 Tuwekee clip tuoneee
Imagine ndio muujiza wa kwanza hapa ulimwenguni wa bwana wetu maji kuwa divai,sisi ni kina nani tusinywe😂,Yeye km hana pesa ya kulewa sio shida zetu, divai iheshimiwe na watu wote 😹
Kwanza heshima ndo kitu gani? Aliyemwambia tunataka kuheshimiwa nani?? 🤣
Kuna jamaa kwenye Uzi mmoja alikuletea shobo nilipenda jinsi ulivyo mpiga spana mpaka jamaa aka toka ndukiYeye km hana pesa ya kulewa sio shida zetu, divai iheshimiwe na watu wote 😹
Kwanza heshima ndo kitu gani? Aliyemwambia tunataka kuheshimiwa nani?? 🤣
Aisome min_me 😅☺️😊Imagine ndio muujiza wa kwanza hapa ulimwenguni wa bwana wetu maji kuwa divai,sisi ni kina nani tusinywe😂,
Anapenda au hapendi divai?Aisome min_me 😅☺️😊
Mbona kamaU-fresh
Tupo chama kimoja sisi ni watetezi wa mvinyo hapa Jf inapo tokea members wakupondea mvinyo ☺️😊 sisi hutumia mifano halisiAnapenda au hapendi divai?
ivo ivoMbona kama
Safi sana ,ninyi ni wanachama hai😂Tupo chama kimoja sisi ni watetezi wa mvinyo hapa Jf inapo tokea members wakupondea mvinyo ☺️😊 sisi hutumia mifano halisi
Aisome pia monetary doctor.
Ifike mahali kila mtu aishi maisha ayke, kufuatilia snaa maisha ya watu utajihesabia sana hakiSio kulewa tuu yaani anakwenda mpaka disco na anaweka status anavyo bambiwa.
I don't know hawa watoto wana shida gani ni malezi au ndo kujiendekeza tu.
Watoto wa kike tunao. Tunajitahidi kuwalea vizuri. Tatizo sio kunywa pombe au kwenda club...bali ni jinsi unavyo behave. Club tumeenda sana tangu enzi za mwalimu.Moisemusajiografii
Demi
Mrs Byesige
Nawaambiaje mtakuja kuwa na watoto wa kike hivyo Haya yote mtajionea na mtakumbuka nyie
Duh basi mwili wako upo tofauti na wengine. Pombe kali mimi sithubutu. Wine hata chupa mbili nakunywa na nipo vzrHivi kuna pombe inalewesha vibaya kama wine? Mimi ni mlevi wa pombe kali mchanganyiko lakini sikukuu ya mwaka mpya nilikunywa pombe zangu kiasi nikaenda nyumbani nikanywa wine glass 1½ nikalewa vibaya mpaka kesho yake asubuh nikaamka hovyo