Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣ulilitoa Hombolo?Kuna lile la kwenye dumu nilileta kwaajili ya familia nikajisahau nikanywa kama juece
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣ulilitoa Hombolo?Kuna lile la kwenye dumu nilileta kwaajili ya familia nikajisahau nikanywa kama juece
Nililinunua duka la jirani🤣🤣🤣🤣ulilitoa Hombolo?
Ngoja nile nishibe nikuelekeze kitu kuhusu hi pakaKwani wakati unamtongoza hakuwa hivyo? Au ulijua atabadilika kwaajili yako?
Kumbe umeokota wa uswazi halafu unalalamika. Tatizo ni wewe
Weee sina demu mwenye mimba mimi..Bro, ni yule demu wako mwenye mimba huyu au mwingine?
Why upo hv wewe😅😅 kubambiwa lazima ni mtindo wa kudance. Ungeenda nae wewe ungembambia
Weee huna akiliMtoa mada apuuzwe
We sema tu kwamba huo umachepele wake ndo ulikuvutia tangu mwanzoNgoja nile nishibe nikuelekeze kitu kuhusu hi paka
Demi ipo hvWe sema tu kwamba huo umachepele wake ndo ulikuvutia tangu mwanzo
Nimekula ndio na naleo nakula ya mwisho mwishoUmekula mzigo lkn
Mimi mtu nikiacha kumuheshimu hapo hapo anakuwa msenge no discussion.Nilikua nakuheshimu sana mkuu..
Ila kwa sasa acha nikwambie tuu ukweli umezingua
Poor BrainWeee huna akili
Ni sahihi lakini kwangu sioni shida kama haimpi shidaKwa mtoto wa kike pombe siyo kabisa - ku date na demu mlevi ni risk.
... kuna njia nyingi za kumwaga ntu, ... umemwagwa yaani!Daaah mkuu skutegemea sasa kama ni mtu wa hivi..
Jana namchek naona kabisa hii mbwa imelewa sijakaa vizr nakuta utumbo wake kule tsap status just imagine



... mimi wangu si alikuwa anaimba na kwaya kabisa kwa 'church' ... sasa siku alipoanza maulevi yake sikuamini kabisa yaani, niliona double double!Tangu nione unatumia ile kilevi kikali kwa picha na mimi hamu ilikata kama mleta mada.
Sasa mtoto wa kike kubabiwa sii ndio burudani. Wee kuwa wanawake wanalia kuwa hawabambiwi 🤣🤣🤣🤣Sio kulewa tuu yaani anakwenda mpaka disco na anaweka status anavyo bambiwa.
I don't know hawa watoto wana shida gani ni malezi au ndo kujiendekeza tu.
... mimi wangu si alikuwa anaimba na kwaya kabisa kwa 'church' ... sasa siku alipoanza maulevi yake sikuamini kabisa yaani, niliona double double!Acha dada wa watu aende disco. Nenda church huko ukatafute mwingine