Unamheshimu mdada vizuri tu, kumbe analewa

Unamheshimu mdada vizuri tu, kumbe analewa

Kwani wakati unamtongoza hakuwa hivyo? Au ulijua atabadilika kwaajili yako?

Kumbe umeokota wa uswazi halafu unalalamika. Tatizo ni wewe
Ngoja nile nishibe nikuelekeze kitu kuhusu hi paka
 
Demi kwenye uzi wangu ndo umeona wewe na wenzako muanze kuongelea pombe tena kwa kuisifia wakati mimi huku nishapoteza mtu..

Why you attack like this
 
We sema tu kwamba huo umachepele wake ndo ulikuvutia tangu mwanzo
Demi ipo hv

Huyu mtu sijui niseme ni makundi au laa but hakua hivi sikuwahi kuona nimejikuta nastukizwa tu..

Haya nkamtafutia na kazi an nimepambana weee kumbe napambania mdada wa kukatikia waimba singeli just imagine..

Mwanzoni hakua hvi mbona kipindi anakuja hapa mpaka nikamtambulisha kwa dada..

Yaani haya mambo akija kujua dada nahisi atanicheka mno maana
 
Back
Top Bottom