Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Naitwa afugwegwe ila Ofisini wananiita Godfrey nadhani nina quality kama zake ...MchuchuWa kuitwa Godfrey, yule kaka alinipenda sana nikiri hadi ukubwani hakuna mwanaume alieonesha upendo kwangu kama yeye shida mimi sikumpenda kihivyo sijuagi ni utoto ama nini. Alikua ananisaidia sana kwenye kusoma mana kichwani alikua njema , namkumbuka sana kwa upendo wake na namna alivyokua ananijali.
Wanasema Nice guy finish lastHuyo ndie mwanaume anayeweza kukoa na kuwa na highest degree of responsibility na wewe. Ajabu wanawake wengi huwa hamuwaelewi matokeo yake mna fall kwa matapeli.
Kwenye vyumba vyenu mlivyokuwa mnapigia punyetoAmbao hatukua na wapenzi tuna comment wapi
Haujamjuaga huyo[emoji16]Form two hadi mtu kasquirt [emoji848][emoji848][emoji848][emoji15][emoji15][emoji15][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]???
Hivi siyo wewe uliyekuwa unanitembeza kwenye mvua jirani?Kuna mambo yanafurahisha sana...
Godfrey hili jina watu wake wapo[emoji91].Wa kuitwa Godfrey, yule kaka alinipenda sana nikiri hadi ukubwani hakuna mwanaume alieonesha upendo kwangu kama yeye shida mimi sikumpenda kihivyo sijuagi ni utoto ama nini. Alikua ananisaidia sana kwenye kusoma mana kichwani alikua njema , namkumbuka sana kwa upendo wake na namna alivyokua ananijali.
Yanii kuna watu ni ma konkodi wa mbususuu hakyanani 🙌🙌Haujamjuaga huyo[emoji16]
Jirani nakumbuka sana... tena nilikua nakuitakaga Shakira...Hivi siyo wewe uliyekuwa unanitembeza kwenye mvua jirani?
Mimi niko msingi Manzese uncle ananipigia pande mademu wakati huo yeye yuko sekondari nimeanza mapema sanaLa saba?
Mbona wamechelewa sana? Hayo mambo mara nyingi ni kuanzia miaka 12 na la saba wengi ni 13 na kuendelea hivyo hakuna cha ajabu hapo.
Siri za kiumeni hizi.
🤣🤣🤣 Kwa mateso Yale....ujirani wetu uwe wa kuzikana Aisee😘Jirani nakumbuka sana... tena nilikua nakuitakaga Shakira...
Lakini baada ya kunyeshewa sii ni kuchakatana jirani...🤣🤣🤣 Kwa mateso Yale....ujirani wetu uwe wa kuzikana Aisee😘
Tatizo ikinyeshewa Ile kitu Inakuwa ngumungumu kimtindo utawahi kutoa wazungu😜Lakini baada ya kunyeshewa sii ni kuchakatana jirani...
Haiwezi kua ngumu kama inatoa utelezi...Tatizo ikinyeshewa Ile kitu Inakuwa ngumungumu kimtindo utawahi kutoa wazungu😜
Baridi jiran ...kutetemeka kule utelezi naupatajeHaiwezi kua ngumu kama inatoa utelezi...
,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe uliyenichukulia demu wangu niliyekuwa nampenda kabisa kipindi tupo sekondari kisa ulikuwa kiranja wa Chakula, maisha yanaendaje hapo GHALA LA VYAKULA LA TAIFA[emoji35][emoji35][emoji35]
Mbona kama nimesemwa mimi apa[emoji2][emoji2], nina kisa cha kufanana na ichi kwa mdada wa kuitwa fm hahaaaWa kuitwa Godfrey, yule kaka alinipenda sana nikiri hadi ukubwani hakuna mwanaume alieonesha upendo kwangu kama yeye shida mimi sikumpenda kihivyo sijuagi ni utoto ama nini. Alikua ananisaidia sana kwenye kusoma mana kichwani alikua njema , namkumbuka sana kwa upendo wake na namna alivyokua ananijali.
Ukiachana na shule by the way nilichelewa kufanya sex 2018 ndio mwaka ambao ndio rasmi nimeanza kufanya sex na hii ni kwasababu ya attitude yangu ya kuwaogopa Sana Wanawake na kuwa mpole na bahati mbaya huyo mwanamke wangu wa kwanza alikuwa ni mke wa mtu nimedate nae bila hata kujua kuwa ni mke wa mtu nimekuja kujua baada ya siku Moja kumpigia tuzungumze akaja kupokea mumewe na akajitambulisha yeye ni Mume wa huyo mwanamke yaani nilichoka akili hadi mwili kwasababu nature yangu si mtu wa ugomvi na mihemuko, mtaratibu nikabidi tu nisioneshe kwamba mimi ni boyfriend wake wa mkewe ili kulinda ndoa yake ingawa kanikosea kwa kunificha muda wote wa mahusiano yetu.Baada yakugundua ni mke wa mtu message zake na calls sipokei alivyoona hivyo akawa ananitafuta kwa namba nyingine ndipo nikamchana live wewe ni mke wa mtu naomba kuanzia sasa tusitafutane na namba yangu futa mahusiano yangu na wewe ni overMapenz ya shule wachache waliowahi kusex