Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

Mkude [emoji3185]
 
Mwalimu wangu nimesahau jina alikuwa mhaya ukimkwaza anafinya tumboni Hadi unatamani kukata roho
Kunatukio nakumbuka ilikuja ambulance karibu na shule tukakota mbio tukasema ni wanyonya damu 😀😀😀mlango ulikuwa mdogo tukapitia madirishani 😂😂😂😂
 
Tabia za watoto wa kitanzania ni sawa [emoji23][emoji23], kuna upuuzi unaezakuta ulifanya kumbe kuna kundi limeshafanya kama wewe 1000x
 
Hivi kuna uhusiano gani kati ya kina minja na ualimu.
Shule ya msingi nilifundishwa na mwalimu minja
UDSM (Conas) nilifundishwa development studies na mwalimu Minja
 
Hivi Hawa wakina minja ni gifted k

Hivi kuna uhusiano gani kati ya kina minja na ualimu.
Shule ya msingi nilifundishwa na mwalimu minja
UDSM (Conas) nilifundishwa development studies na mwalimu Minja
Aahaaaa

Sijajua mkuu
 
Huyu aliyekuwa wanafunzi wanamwita Reagan?

😀😀
Huyo huyo Ally Hemed a.k.a Reagan mdigo aliyeendelea.
Ulimaliza lini Jumuiya?
Tuanze grupu letu tukiwakumbuka kina Ndeya, Manyiri, Mhina mzee, Mhina mchafu, Mwinjage.
 
ubungo national housing

Sent from my SM-J510FN using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…