Unamkumbuka Ray C “Kiuno bila Mfupa”

Unamkumbuka Ray C “Kiuno bila Mfupa”

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
1717604065593.png

Rehema Chalamila (Ray C) Mei 15, 1982, Iringa - Tanzania.

Kabla ya kuingia kwenye Muziki, alikuwa Mtangazaji wa East Africa Radio, baadaye akahamia Clouds FM zote za Dar es Salaam.

Alianza safari yake ya muziki wa Bongo Fleva mwaka 2003, alipozindua albamu yake ya kwanza, "Mapenzi Yangu."

Amewahi kushinda tuzo mbalimbali kama:
-Msanii Bora wa Kike kwenye Tuzo za Muziki za Tanzania (2004 na 2007)

-Msanii bora wa Kike kutoka Uganda na Tanzania Tuzo za Muziki za Kisima (2004)

Pia, Ray C ni mtetezi wa harakati za Serikali za kupambana na Biashara ya Dawa za kulevya
 
Rehema Chalamila (Ray C) Mei 15, 1982, Iringa - Tanzania.

Kabla ya kuingia kwenye Muziki, alikuwa Mtangazaji wa East Africa Radio, baadaye akahamia Clouds FM zote za Dar es Salaam.

Alianza safari yake ya muziki wa Bongo Fleva mwaka 2003, alipozindua albamu yake ya kwanza, "Mapenzi Yangu."

Amewahi kushinda tuzo mbalimbali kama:
-Msanii Bora wa Kike kwenye Tuzo za Muziki za Tanzania (2004 na 2007)

-Msanii bora wa Kike kutoka Uganda na Tanzania Tuzo za Muziki za Kisima (2004)

Pia, Ray C ni mtetezi wa harakati za Serikali za kupambana na Biashara ya Dawa za kulevya
kazaliwa 1982 alafu umaarufu wake nakumbuka miaka 1998

ila huyu bibi na hapo 1998 anafanya kazi kwenye redio. au mimi naona hesabu inaenda tofauti
 
Back
Top Bottom