Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fungua basi mwaego...😂 totoo fungua pm nikusalimieapa hamna mtongozaji kwa ubabe huu,,sifungui ng'ooo
Una mwanasheria?demu wa mrisho mpamba kamchuna sana
Nakumbuka afrika mabataa, majuto quote, mda unakimbia wajameniMleta mada hajaandika hivyo lakini, unless kama umesoma makala tofauti na hii. By the way Clouds ilianzishwa mwaka 1999.
N i naye ni ibirisiUna mwanasheria?
😂😂😂hadi nidai we aseeee ni mkuryafungua basi mwaego...😂 totoo fungua pm nikusalimie
Nakumbuka afrika mabataa, majuto quote, mda unakimbia wajamenMleta mada hajaandika hivyo lakini, unless kama umesoma makala tofauti na hii. By the way Clouds ilianzishwa mwaka 1999.
SawaN i naye ni ibirisi
nyamwezi moja hii wewe😂😂😂hadi nidai we aseeee ni mkurya
kwahiyo unanletea unyamwezi sionyamwezi moja hii wewe
mh! sasa tuanze kujadili ukabila tena! chenga sana we kitoto...😂kwahiyo unanletea unyamwezi sio
acha ubabe basi nawewe loooh 😂😂mh! sasa tuanze kujadili ukabila tena! chenga sana we kitoto...😂
sina ubabe nifungulie mlango tuyajenge jambo letu hili..acha ubabe basi nawewe loooh 😂😂
Yupo hapa hapa daslaamInasemekana yuko nchi za mbele, aliishapata mtoto
😂😂😂Binti alikua moto zaidi ya hawa wanajiita chuchu sijui chuzu
Hebu tukionebasi bwana,,kile kiuno ndo kaniachia mimi apa,,ila sauti kamwachia nandy na ruby
mbona nilikituma jana hukuona?Hebu tukione