Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
nakuja pm kukiona...nakubasi bwana,,kile kiuno ndo kaniachia mimi apa,,ila sauti kamwachia nandy na ruby
Njoo PM...😋basi bwana,,kile kiuno ndo kaniachia mimi apa,,ila sauti kamwachia nandy na ruby
utanikuta sasa uko pmnakuja pm kukiona...
na uzee huo utanirogaNjoo PM...😋
kazaliwa 1982 alafu umaarufu wake nakumbuka miaka 1998Rehema Chalamila (Ray C) Mei 15, 1982, Iringa - Tanzania.
Kabla ya kuingia kwenye Muziki, alikuwa Mtangazaji wa East Africa Radio, baadaye akahamia Clouds FM zote za Dar es Salaam.
Alianza safari yake ya muziki wa Bongo Fleva mwaka 2003, alipozindua albamu yake ya kwanza, "Mapenzi Yangu."
Amewahi kushinda tuzo mbalimbali kama:
-Msanii Bora wa Kike kwenye Tuzo za Muziki za Tanzania (2004 na 2007)
-Msanii bora wa Kike kutoka Uganda na Tanzania Tuzo za Muziki za Kisima (2004)
Pia, Ray C ni mtetezi wa harakati za Serikali za kupambana na Biashara ya Dawa za kulevya
Haa je kile kiuno bd laini?basi bwana,,kile kiuno ndo kaniachia mimi apa,,ila sauti kamwachia nandy na ruby
nifuate wewe...utanikuta sasa uko pm
demu wa mrisho mpamba kamchuna sanaInasemekana yuko nchi za mbele, aliishapata mtoto
sio laini tu yaani smoooooth 😂😂Haa je like kiuno bd laini?
sasa kama nitakua nafatafata wababa ntaona raha ya kutongozwa kwel 🙄🙄nifuate wewe...
Mwisho mwampamba..demu wa mrisho mpamba kamchuna sana
Mleta mada hajaandika hivyo lakini, unless kama umesoma makala tofauti na hii. By the way Clouds ilianzishwa mwaka 1999.kazaliwa 1982 alafu umaarufu wake nakumbuka miaka 1998
ila huyu bibi na hapo 1998 anafanya kazi kwenye redio. au mimi naona hesabu inaenda tofauti
unataka kutongozwa na umefunga pm!! fungua nije ama vipi nitext wewe nikupapatue!sasa kama nitakua nafatafata wababa ntaona raha ya kutongozwa kwel 🙄🙄
ajaanza clouds basi .au wewe ni katotoMleta mada hajaandika hivyo lakini, unless kama umesoma makala tofauti na hii. By the way Clouds ilianzishwa mwaka 1999.
apa hamna mtongozaji kwa ubabe huu,,sifungui ng'ooounataka kutongozwa na umefunga pm!! fungua nije ama vipi nitext wewe nikupapatue!