Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Ningeona ningeomba kuona?mbona nilikituma jana hukuona?
kibabe ivi,,,aseee sikuoneshiNingeona ningeomba kuona?
Na sitaki tenakibabe ivi,,,aseee sikuoneshi
Eeeeh eeeeeeh usinambie ume......basi basiNa sitaki tena
Kwa wanao jua atakua na undugu na chalamila huyu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...???
Rehema Chalamila (Ray C) Mei 15, 1982, Iringa - Tanzania.
Kabla ya kuingia kwenye Muziki, alikuwa Mtangazaji wa East Africa Radio, baadaye akahamia Clouds FM zote za Dar es Salaam.
Alianza safari yake ya muziki wa Bongo Fleva mwaka 2003, alipozindua albamu yake ya kwanza, "Mapenzi Yangu."
Amewahi kushinda tuzo mbalimbali kama:
-Msanii Bora wa Kike kwenye Tuzo za Muziki za Tanzania (2004 na 2007)
-Msanii bora wa Kike kutoka Uganda na Tanzania Tuzo za Muziki za Kisima (2004)
Pia, Ray C ni mtetezi wa harakati za Serikali za kupambana na Biashara ya Dawa za kulevya
Hilo jina common Iringa. Sio lazima wawe ndugu.Kwa wanao jua atakua na undugu na chalamila huyu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...???
Inawezekana nikawa katoto bro. Jina lako linasadifu unachokiwazaajaanza clouds basi .au wewe ni katoto
Jina la ukoo tu. Ila Ray C ana undugu na Betty Chalamila (Betty Mkwasa) aliyekuwa mtangazaji wa RTD na Radio OneKwa wanao jua atakua na undugu na chalamila huyu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...???
Ni mdogo wake🙂Kwa wanao jua atakua na undugu na chalamila huyu mkuu wa mkoa wa Dar es salaam...???
Kwa uandishi huu,wewe ndiye katoto. Eti "ajaanza".....sema hakuanza....bora hata ungeandika ..hajaanza.....ajaanza clouds basi .au wewe ni katoto
ajaanza clouds basi .au wewe ni katoto
Ndio sitakiEeeeh eeeeeeh usinambie ume......basi basi
Kiuno HICHO kuna Muhuni anakikamatia vilivyo km Lord Eyes alivyokua anakikamatia vilivyo kiuno cha Ray Cbasi bwana,,kile kiuno ndo kaniachia mimi apa,,ila sauti kamwachia nandy na ruby
Namba yako nnayo ntakupigia usihofu Ila hivi ulisema una watoto watatu Baba tofauti?apa hamna mtongozaji kwa ubabe huu,,sifungui ng'ooo
kwanin ususe?Ndio sitaki
Au basi nimeghairi nitumie
kuna ubaya?Kiuno HICHO kuna Muhuni anakikamatia vilivyo km Lord Eyes alivyokua anakikamatia vilivyo kiuno cha Ray C
ni kweli ila sasa nna mimba nyingine baba tofauti tena,,, namba nmebadili njoo nkupe ya sasa.Namba yako nnayo ntakupigia usihofu Ila hivi ulisema una watoto watatu Baba tofauti?
Nije unipe nyingine? Kwa hio na Mimba HIO utatombeka kweli?ni kweli ila sasa nna mimba nyingine baba tofauti tena,,, namba nmebadili njoo nkupe ya sasa.