Unampakiaje mkongo mke wa mtu?

Unampakiaje mkongo mke wa mtu?

Nani mjinga hapo?

Nikimtongoza mkeo akanikubalia... tatizo la nani hapo? mfunze mkeo kuwa responsible
Wote mnakuwa wajinga .

Hata kama mke ni maji mara moja haikutoi wewe makosani kumtongoza mke wa mtu.

Kutongoza ni kumshawishi mtu unavyomtongoza mke wa mtu maana yake unamshawishi ulale nae sasa unajitoa vipi hapo makosani .
 
Ukiona kijana anapambana na booster ujue ana hitilafu na ukimpa mkeo chini ya miezi 6 atakuwa keshamshindwa kwa sababu ngono kwake inahitaji maandalizi achilia mbali uwezo wa kutimiza majukumu. Watu wenye hitilafu hii hata majukumu hawawezi sababu hawana uwezo wa comitment. Ukiwapa majukumu ya mke tatizo linakuwa kubwa zaidi hata mkongo unamsaliti.

Wanawake wengi wanajua haya, mkeo pamoja na kupakiwa mkongo ukimwambia haya nenda huko ili upakiwe mkongo kila siku atapiga ukunga maana anajua huyo ni mwanaume wa masaa tu baada ya hapo hamna mwanaume.

Wasiojua ndo huwa wanaenda halafu baada ya miezi kadhaa wanaanza kutuma wazee wenye busara. Kwa kawaida Nguvu za asili tulizopewa zinatosha mpaka pale panapotokea hitilafu.
Vijana hawataki kukojoa mapema......
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ukiona mtu kampakia mkongo mkeo

Ujue lengo lake Ni kutuma msg kwa mkeo kua huwajibiki au huna nguvu za kiume

Maana ake anamtuma mkeo akija nyumban akutukane na akudharau

Ndo maana mwanamke anayechepuka hasameheki kamwe, na pia anayetembea na MKE wa mtu (kwa kukusudia) adhabu yake iwe ya kudhalilisha pia.
mf: apakwe kilainishi jichoni n.k
 
Ukiona mtu kampakia mkongo mkeo

Ujue lengo lake Ni kutuma msg kua huwajibiki au huna nguvu za kiume

Maana ake anamtuma mkeo akija nyumban akutukane na akudharau

Ndo maana mwanamke anayechepuka hasameheki kamwe, na pia anayetembea na MKE wa mtu (kwa kukusudia) adhabu yake iwe ya kudhalilisha pia.
mf: apakwe kilainishi jichoni n.k
🙋
 
Ukiona mtu kampakia mkongo mkeo

Ujue lengo lake Ni kutuma msg kua huwajibiki au huna nguvu za kiume

Maana ake anamtuma mkeo akija nyumban akutukane na akudharau

Ndo maana mwanamke anayechepuka hasameheki kamwe, na pia anayetembea na MKE wa mtu (kwa kukusudia) adhabu yake iwe ya kudhalilisha pia.
mf: apakwe kilainishi jichoni n.k
Ni hivi: Ukisikia mke wako ametembea na mtu nje ya ndoa mfukuze mara moja wala usifikiri mara mbili. Siku zote wanaume wanaotembea nje ya ndoa hutumia huo muda kufanya vitu vya ziada kwa wanawake wao wa nje. Yaani wanawatumia kama maabara. Na mbaya zaidi siku hizi kuna kugeuza samaki hivyo uwezekano wa mke wako kufanyiwa hivyo kama ametoka nje ya ndoa ni mkubwa sana.
 
Vijana hawataki kukojoa mapema......
Wangetafiti kwanza kama wanawahi. MFANO: Ukiachana na wanamichezo ambao nao wana kipindi maalum cha mazoezi kisha wanatakiwa kustaafu Binadamu kwa kawaida anaweza kukimbia km10/saa sasa kwann ikusumbue kushindwa kukimbia km20/saa wakati ww ni binadamu? Anayehitaji kuona mbio zaidi ya hizo akaangalie wanyama kama mbwa, fisi, n.k na sio wewe unywe madawa ili uzifikie hizo mbio.
 
Nani mjinga hapo?

Nikimtongoza mkeo akanikubalia... tatizo la nani hapo? mfunze mkeo kuwa responsible
Washauri wawatunze wake zao vizuri badala ya kuendekeza kamari na pombe
 
Ukiona kijana anapambana na booster ujue ana hitilafu na ukimpa mkeo chini ya miezi 6 atakuwa keshamshindwa kwa sababu ngono kwake inahitaji maandalizi achilia mbali uwezo wa kutimiza majukumu. Watu wenye hitilafu hii hata majukumu hawawezi sababu hawana uwezo wa comitment. Ukiwapa majukumu ya mke tatizo linakuwa kubwa zaidi hata mkongo unamsaliti.

Wanawake wengi wanajua haya, mkeo pamoja na kupakiwa mkongo ukimwambia haya nenda huko ili upakiwe mkongo kila siku atapiga ukunga maana anajua huyo ni mwanaume wa masaa tu baada ya hapo hamna mwanaume.

Wasiojua ndo huwa wanaenda halafu baada ya miezi kadhaa wanaanza kutuma wazee wenye busara. Kwa kawaida Nguvu za asili tulizopewa zinatosha mpaka pale panapotokea hitilafu.
True. Those artificial powers fade out after some time. And then their situation becomes worse than it had been because they are now dependent completely on the drugs.
 
Ni hivi: Ukisikia mke wako ametembea na mtu nje ya ndoa mfukuze mara moja wala usifikiri mara mbili. Siku zote wanaume wanaotembea nje ya ndoa hutumia huo muda kufanya vitu vya ziada kwa wanawake wao wa nje. Yaani wanawatumia kama maabara. Na mbaya zaidi siku hizi kuna kugeuza samaki hivyo uwezekano wa mke wako kufanyiwa hivyo kama ametoka nje ya ndoa ni mkubwa sana.
NAKAZIA HAPA.
 
Wangetafiti kwanza kama wanawahi. MFANO: Ukiachana na wanamichezo ambao nao wana kipindi maalum cha mazoezi kisha wanatakiwa kustaafu Binadamu kwa kawaida anaweza kukimbia km10/saa sasa kwann ikusumbue kushindwa kukimbia km20/saa wakati ww ni binadamu? Anayehitaji kuona mbio zaidi ya hizo akaangalie wanyama kama mbwa, fisi, n.k na sio wewe unywe madawa ili uzifikie hizo mbio.
👍
 
True. Those artificial powers fade out after some time. And then their situation becomes worse than it had been because they are now dependent completely on the drugs.
Wako kama wale madereva akiwa anasafiri mkoani akifika anaanza kusema nimemnyoosha jamaa ana V8, hatakaa anisahau. Hapo ana vitz na mwenye V8 wala hakujua kuwa anashindana.

All they think of is sex compitition. They blv they are man enough only if the race is won while there is no race, it's in their heads.
 
Hii sio Sawa,yaani unatafuta kabisa mkongo Kwa ajili ya kumpakia mke wa mtu? Hii sio Sawa, ni dhulma mbaya sana, ndio maana tunapata mabalaa Kisha tunatafuta mchawi.

Mbaya zaidi unajisifu mbele za watu! Tena wengine wanaenda mbali na kusema wanasukuma pia tope wake za watu. Jamani jamani, halafu kubwa zaidi wengi wanatembelea rim.

Mungu atausaidie Sana wanaume, kama una hizo habari tubu Kwa Mungu wako na uache kabisa.
Aise
 
Back
Top Bottom