Unamshangaa Masanja? Msome hapa JB Mpiana ujue maana ya uvumilivu kwenye mapenzi

Unamshangaa Masanja? Msome hapa JB Mpiana ujue maana ya uvumilivu kwenye mapenzi

Daah huyu Amida ni mrembo haswaa, lakini naona anapenda spotlight design ya Kajala vile. Halafu naona bado ni mke wa huyo jamaa Vital Kamerhe sasa sijui hii imekaa vipi.
 
Wewe. Mke wa JB aliolewa na bilionea. I mean billionaire.
Sasa huyu Malaya anakandamizwa na kitoto hela hakina mpaka kifanye uchawa kwa huyo mtoa msamaha.
Ubilionea ni habari ingine. Kingine wakongo hawatumii mtandao wa tigo.
 
Mwana, wa kwangu akitoka tu nje ya lile geti pale kwa sababu za kingono nje na mimi, hatarudi tena hata afanyeje, ataenda popote hatapata msaada, inawezekana hujajua nini maana ya MWANAUME, Mpiana atakua ni mtoto wa kiume na si MWANAUME... MWANAUME yoyote ni SIMBA wa nyikani asiyetishwa, usifundishe watu ushoga shoga
Omba Mungu Usione viumbe hawa wanasiri sana! unaweza usijue mpaka unaingia kaburini.
 
Omba Mungu Usione viumbe hawa wanasiri sana! unaweza usijue mpaka unaingia kaburini.
Ndiyo iwe Siri nisijue... Lakini hiyo story ya JB ni ya kipuuzi na aibu kwake iwapo ni kweli
 
Unaitwa feux del'amour anakwambia
Yango napona na ngai Amida, ata na mpasi tokovanda, ata bikedi tokolia, ata Thompson tokotonda
(Ndo maana nimemchagua Amida, hata kama kwenye magumu tunakuwa pamoja, hata kama kwa kula mihogo tu sisi tunaishi, hata kama Thomson tunakula (Samaki wa kukaushwa)

Kweli mkuu nimeusikiliza tena hiyo mistari ipo [emoji1544][emoji1544]
 
Kwanza nawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.... Yaani penda usipende CCM imebeba matumaini yako kama mtanzania.

Tukirudi kwenye lengo la uzi ni kwamba nimeshangazwa sana na watu wanaomshambulia mmiliki wa kanisa la Feel-Free, comedian Masanja Mkandamizaji kwa kumsamehe mkewe anayesemekana kuisaliti ndoa yao. Wananchi wengi wameonyesha kushangazwa na ujasiri wa Masanja kuweka msimamo wa kumpenda mkewe hata ikitokea kamfumania LIVE kwenye lile tendo. Binafsi naweza sema wengi wa watu wanaomshangaa Masanja hawana mapenzi ya dhati.

Tutazame kidogo mwanamuziki tajiri toka DRC, JB Mpiana ili kuweza kutukumbusha mapenzi ya dhati yapo na pia msamaha upo kwa mtu unayempenda kwa dhati. Kwa wasiomfahamu JB Mpiana mfahamu kuwa huyu ni mwanamuziki mwanzilishi wa bendi maarufu sana ya Wenge Musica iliyotamba sana miaka ya 90. Wakati Wenge ikitamba huyu JB Mpiana ndo alikuaa kiongozi wa kundi akiwa na wenzake kina Werrason, Didier Masela, Alain Makaba, Adolphe Dominguez, Blaise Bula, Titina Alcapone, Tutu Kaludgi, na Roberto Ekokota. Lilikuwa kundi la moto sana kwa bahati mbaya likasambaratika na kuibuka kwa bifu kali sana toka kwa miamba miwili, JB Mpiana na Werrason.

JB Mpiana alikuwa mume halali wa mwanamama Amida Shatur na kubahatika kupata watoto watatu, Daida, Soraya na Junior. Lakini mnamo mwaka 2002, mwanamama Amida alimwacha JB Mpiana na kwenda kuolewa na bilionea wa madini aitwaye Didi Kinuani. Katika ndoa yao, Didi na Amida walifanikiwa kupata mtoto mmoja aitwa Diam. Lakini kwa kuwa kunguru hafugiki, zikaanza tetesi za Amida kuchepuka na bilionea mwingine aitwae Vital Kamerhe kitu ambacho Didi Kinuani hakuweza kuvumilia na kuamua kumpa talaka mkewe Amida. Katika muda wote huo wa ndoa ya Didi Kinuani na Amida, yeye JB Mpiana alikuwa single.

Ikiwa ni karibu miaka nane imepita baada ya kuachana na mkewe, June 2, 2009, supastaa JB Mpiana kwenye sherehe za kutimiza miaka 42 ya kuzaliwa, aliwashangaza watu waliohudhuria tafrija Grand Hotel Kinshasa kwa kuwatangazia kurudiana na mkewe Amida aliyeachika kwa Didi Kinuani. Na hakuishia hapo tu, alimpa zawadi pia mbele ya wageni waalikwa. Hili jambo liliushangaza umma kwasababu wengi walikerwa na jinsi Amida alivyomuacha Mpiana na kwenda kwa bilionea Didi. Mwanamuziki Werrason pamoja na kuwa walikuwa kwenye bifu zito na JB Mpiana baada ya kundi lao la Wenge kusambaratika ila naye alikataa dili la kwenda kutumbuiza kwenye harusi ya Didi Kinuani na Amida kwasababu ilimuuma kuona ndugu yake alichofanyiwa.

Furaha ya JB Mpiana ilikoma rasmi tena kwa mara ya pili February 14, 2019 pale mkewe alipomuacha tena na kwenda kuolewa na mchepuko wake wa muda mrefu bilionea Vital Kamerhe. Kinachouma zaidi ni kwamba binti zake Mpiana, Soraya na Daida, walihudhuria hii harusi ya mama yao na baba yao wa kambo Vital Kamerhe. Kwenye ndoa yao, Kamerhe na Amida wamebahatika kupata mtoto Isaac.

Ni kwamba tukiachana na hayo matukio rasmi ya ndoa, Mpiana amekuwa mara nyingi akiachwa na mkewe na kurudiwa baadae. Na mara zote Mpiana amekuwa akimsamehe mkewe kuanza mahaba upya. Tofauti na Masanja utaona Mpiana wabaya wake ni mabilionea ambao pia wana nguvu sana kisiasa. Vital Kamerhe ni katibu kiongozi kwenye serikali ya Tshisekedi huku Didi Kinuani akiwa ni mfanyabiashara mkubwa wa madini huku akihusishwa na kunufaika wakati wa vita huko Angola. Yaani hakuna kitu atawafanya.

Kitu wanachofanana Masanja na Mpiana ni utajiri. Wote wawili wana pesa za kutosha ila kwa bahati mbaya kwenye mapenzi ni mafukara. Ni wito wangu kwa watu wengine kusamehe wake zao wanapoachika na wapenzi wao. Hata kama atarudi na mtoto kama ilivyokuwa kwa JB na Amida.
Pamoja na yooote Papa Sherri sio muasisi wa kundi la WENGE.
 
Kwanza nawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.... Yaani penda usipende CCM imebeba matumaini yako kama mtanzania.

Tukirudi kwenye lengo la uzi ni kwamba nimeshangazwa sana na watu wanaomshambulia mmiliki wa kanisa la Feel-Free, comedian Masanja Mkandamizaji kwa kumsamehe mkewe anayesemekana kuisaliti ndoa yao. Wananchi wengi wameonyesha kushangazwa na ujasiri wa Masanja kuweka msimamo wa kumpenda mkewe hata ikitokea kamfumania LIVE kwenye lile tendo. Binafsi naweza sema wengi wa watu wanaomshangaa Masanja hawana mapenzi ya dhati.

Tutazame kidogo mwanamuziki tajiri toka DRC, JB Mpiana ili kuweza kutukumbusha mapenzi ya dhati yapo na pia msamaha upo kwa mtu unayempenda kwa dhati. Kwa wasiomfahamu JB Mpiana mfahamu kuwa huyu ni mwanamuziki mwanzilishi wa bendi maarufu sana ya Wenge Musica iliyotamba sana miaka ya 90. Wakati Wenge ikitamba huyu JB Mpiana ndo alikuaa kiongozi wa kundi akiwa na wenzake kina Werrason, Didier Masela, Alain Makaba, Adolphe Dominguez, Blaise Bula, Titina Alcapone, Tutu Kaludgi, na Roberto Ekokota. Lilikuwa kundi la moto sana kwa bahati mbaya likasambaratika na kuibuka kwa bifu kali sana toka kwa miamba miwili, JB Mpiana na Werrason.

JB Mpiana alikuwa mume halali wa mwanamama Amida Shatur na kubahatika kupata watoto watatu, Daida, Soraya na Junior. Lakini mnamo mwaka 2002, mwanamama Amida alimwacha JB Mpiana na kwenda kuolewa na bilionea wa madini aitwaye Didi Kinuani. Katika ndoa yao, Didi na Amida walifanikiwa kupata mtoto mmoja aitwa Diam. Lakini kwa kuwa kunguru hafugiki, zikaanza tetesi za Amida kuchepuka na bilionea mwingine aitwae Vital Kamerhe kitu ambacho Didi Kinuani hakuweza kuvumilia na kuamua kumpa talaka mkewe Amida. Katika muda wote huo wa ndoa ya Didi Kinuani na Amida, yeye JB Mpiana alikuwa single.

Ikiwa ni karibu miaka nane imepita baada ya kuachana na mkewe, June 2, 2009, supastaa JB Mpiana kwenye sherehe za kutimiza miaka 42 ya kuzaliwa, aliwashangaza watu waliohudhuria tafrija Grand Hotel Kinshasa kwa kuwatangazia kurudiana na mkewe Amida aliyeachika kwa Didi Kinuani. Na hakuishia hapo tu, alimpa zawadi pia mbele ya wageni waalikwa. Hili jambo liliushangaza umma kwasababu wengi walikerwa na jinsi Amida alivyomuacha Mpiana na kwenda kwa bilionea Didi. Mwanamuziki Werrason pamoja na kuwa walikuwa kwenye bifu zito na JB Mpiana baada ya kundi lao la Wenge kusambaratika ila naye alikataa dili la kwenda kutumbuiza kwenye harusi ya Didi Kinuani na Amida kwasababu ilimuuma kuona ndugu yake alichofanyiwa.

Furaha ya JB Mpiana ilikoma rasmi tena kwa mara ya pili February 14, 2019 pale mkewe alipomuacha tena na kwenda kuolewa na mchepuko wake wa muda mrefu bilionea Vital Kamerhe. Kinachouma zaidi ni kwamba binti zake Mpiana, Soraya na Daida, walihudhuria hii harusi ya mama yao na baba yao wa kambo Vital Kamerhe. Kwenye ndoa yao, Kamerhe na Amida wamebahatika kupata mtoto Isaac.

Ni kwamba tukiachana na hayo matukio rasmi ya ndoa, Mpiana amekuwa mara nyingi akiachwa na mkewe na kurudiwa baadae. Na mara zote Mpiana amekuwa akimsamehe mkewe kuanza mahaba upya. Tofauti na Masanja utaona Mpiana wabaya wake ni mabilionea ambao pia wana nguvu sana kisiasa. Vital Kamerhe ni katibu kiongozi kwenye serikali ya Tshisekedi huku Didi Kinuani akiwa ni mfanyabiashara mkubwa wa madini huku akihusishwa na kunufaika wakati wa vita huko Angola. Yaani hakuna kitu atawafanya.

Kitu wanachofanana Masanja na Mpiana ni utajiri. Wote wawili wana pesa za kutosha ila kwa bahati mbaya kwenye mapenzi ni mafukara. Ni wito wangu kwa watu wengine kusamehe wake zao wanapoachika na wapenzi wao. Hata kama atarudi na mtoto kama ilivyokuwa kwa JB na Amida.
Athari moja wapo ya kufakamia kiti moto ni hii. Unakuwa huna wivu kwa ahli zako kama alivyo yeye mwenyewe.
 
Amida anaonekana ni mpigaji tu

Yaan miamba inajitombea inavyotaka, k haipoi kesho katombwa kule kesho kutwa katombwa kule, yeye ni mwendo wa kutembeza k tu kwa vibopa

K inatoka kwa Mpiana haijapoa inaenda kwa Didi mara haijapoa vizuri inaenda tena kwa Mpiana, kwa Mpiana haijapoa vizuri inaenda kusuguliwa na Vital

Acha K iitwe K

Kwenye mapenzi mwanamke ndio anatakiwa ampende mwanaume ndio sio kumheshimu na kumtii tu bali awali ya yote mwanamke ampende mwanaume wake kwa mapenzi ya dhati hapo mtadumu hadi mnakua vikongwe ila sio kwamba mwanaume kujitoa ufahamu na kujifanya kumpenda mwanamke maana mwanamke mda wowote zikifyatuka kichwani anaweza akasepa zake akaenda kuzaa kwingineko si amebeba mfuko wa mimba utamwambia nini?,

Mwanaume punguza shobo hakikisha umependwa na mwanamke sio wewe ujitie chizi mapenzi eti umempenda mwanamke ni mama yako mzazi huyo?, utakula za uso ufe kibudu kenge wee

Pole zimfikie JB Mpiana popote alipo

Masanja Mkandamizaji jiandae kisaikolojia anytime wahuni watafanya yao tena kwa mara nyingine
 
Ukipata unayempenda utasamehe kama Masanja
Mimi narudia tena

Wanawake wote unaowaona wamedumu kwenye ndoa miaka na miaka wengine wanafika hadi kuzeeka pamoja, ni wao ndio wamewapenda wanaume zao walionao ila sio wamedumu sababu wamependwa na mwanaume hio ni big NO, mwanamke ili adumu na mwanaume inabidi yeye ndie ampende mwanaume wake

Kwa hio wanaume waache kujidanganya kwamba wanampenda mwanamke, mwanamke inabidi yeye ndio ampende mwanaume na aamue kujenga nae maisha, kinyume na hapo anytime mwanaume anakula za uso kikitokea kibopa kina faranga za kutosha umekwisha maana haujapendwa wewe mwanaume zimependwa faranga tu, mwanamke anafuata kwenye kuna hizo faranga mingi za kutosha akitokea mdau akapanda dau huyoo anaenda kumvulia chupi

Biee?

Hilo ndilo funzo la simulizi yako nililojifunza mimi sio vinginevyo
 
Kwanza nawasalimu kwa jina la Chama Pendwa CCM.... Yaani penda usipende CCM imebeba matumaini yako kama mtanzania.

Tukirudi kwenye lengo la uzi ni kwamba nimeshangazwa sana na watu wanaomshambulia mmiliki wa kanisa la Feel-Free, comedian Masanja Mkandamizaji kwa kumsamehe mkewe anayesemekana kuisaliti ndoa yao. Wananchi wengi wameonyesha kushangazwa na ujasiri wa Masanja kuweka msimamo wa kumpenda mkewe hata ikitokea kamfumania LIVE kwenye lile tendo. Binafsi naweza sema wengi wa watu wanaomshangaa Masanja hawana mapenzi ya dhati.

Tutazame kidogo mwanamuziki tajiri toka DRC, JB Mpiana ili kuweza kutukumbusha mapenzi ya dhati yapo na pia msamaha upo kwa mtu unayempenda kwa dhati. Kwa wasiomfahamu JB Mpiana mfahamu kuwa huyu ni mwanamuziki mwanzilishi wa bendi maarufu sana ya Wenge Musica iliyotamba sana miaka ya 90. Wakati Wenge ikitamba huyu JB Mpiana ndo alikuaa kiongozi wa kundi akiwa na wenzake kina Werrason, Didier Masela, Alain Makaba, Adolphe Dominguez, Blaise Bula, Titina Alcapone, Tutu Kaludgi, na Roberto Ekokota. Lilikuwa kundi la moto sana kwa bahati mbaya likasambaratika na kuibuka kwa bifu kali sana toka kwa miamba miwili, JB Mpiana na Werrason.

JB Mpiana alikuwa mume halali wa mwanamama Amida Shatur na kubahatika kupata watoto watatu, Daida, Soraya na Junior. Lakini mnamo mwaka 2002, mwanamama Amida alimwacha JB Mpiana na kwenda kuolewa na bilionea wa madini aitwaye Didi Kinuani. Katika ndoa yao, Didi na Amida walifanikiwa kupata mtoto mmoja aitwa Diam. Lakini kwa kuwa kunguru hafugiki, zikaanza tetesi za Amida kuchepuka na bilionea mwingine aitwae Vital Kamerhe kitu ambacho Didi Kinuani hakuweza kuvumilia na kuamua kumpa talaka mkewe Amida. Katika muda wote huo wa ndoa ya Didi Kinuani na Amida, yeye JB Mpiana alikuwa single.

Ikiwa ni karibu miaka nane imepita baada ya kuachana na mkewe, June 2, 2009, supastaa JB Mpiana kwenye sherehe za kutimiza miaka 42 ya kuzaliwa, aliwashangaza watu waliohudhuria tafrija Grand Hotel Kinshasa kwa kuwatangazia kurudiana na mkewe Amida aliyeachika kwa Didi Kinuani. Na hakuishia hapo tu, alimpa zawadi pia mbele ya wageni waalikwa. Hili jambo liliushangaza umma kwasababu wengi walikerwa na jinsi Amida alivyomuacha Mpiana na kwenda kwa bilionea Didi. Mwanamuziki Werrason pamoja na kuwa walikuwa kwenye bifu zito na JB Mpiana baada ya kundi lao la Wenge kusambaratika ila naye alikataa dili la kwenda kutumbuiza kwenye harusi ya Didi Kinuani na Amida kwasababu ilimuuma kuona ndugu yake alichofanyiwa.

Furaha ya JB Mpiana ilikoma rasmi tena kwa mara ya pili February 14, 2019 pale mkewe alipomuacha tena na kwenda kuolewa na mchepuko wake wa muda mrefu bilionea Vital Kamerhe. Kinachouma zaidi ni kwamba binti zake Mpiana, Soraya na Daida, walihudhuria hii harusi ya mama yao na baba yao wa kambo Vital Kamerhe. Kwenye ndoa yao, Kamerhe na Amida wamebahatika kupata mtoto Isaac.

Ni kwamba tukiachana na hayo matukio rasmi ya ndoa, Mpiana amekuwa mara nyingi akiachwa na mkewe na kurudiwa baadae. Na mara zote Mpiana amekuwa akimsamehe mkewe kuanza mahaba upya. Tofauti na Masanja utaona Mpiana wabaya wake ni mabilionea ambao pia wana nguvu sana kisiasa. Vital Kamerhe ni katibu kiongozi kwenye serikali ya Tshisekedi huku Didi Kinuani akiwa ni mfanyabiashara mkubwa wa madini huku akihusishwa na kunufaika wakati wa vita huko Angola. Yaani hakuna kitu atawafanya.

Kitu wanachofanana Masanja na Mpiana ni utajiri. Wote wawili wana pesa za kutosha ila kwa bahati mbaya kwenye mapenzi ni mafukara. Ni wito wangu kwa watu wengine kusamehe wake zao wanapoachika na wapenzi wao. Hata kama atarudi na mtoto kama ilivyokuwa kwa JB na Amida.
Picha ya mke wa Mpiana iko wapi mkuu?
 
Mimi narudia tena

Wanawake wote unaowaona wamedumu kwenye ndoa miaka na miaka wengine wanafika hadi kuzeeka pamoja, ni wao ndio wamewapenda wanaume zao walionao ila sio wamedumu sababu wamependwa na mwanaume hio ni big NO, mwanamke ili adumu na mwanaume inabidi yeye ndie ampende mwanaume wake

Kwa hio wanaume waache kujidanganya kwamba wanampenda mwanamke, mwanamke inabidi yeye ndio ampende mwanaume na aamue kujenga nae maisha, kinyume na hapo anytime mwanaume anakula za uso kikitokea kibopa kina faranga za kutosha umekwisha maana haujapendwa wewe mwanaume zimependwa faranga tu, mwanamke anafuata kwenye kuna hizo faranga mingi za kutosha akitokea mdau akapanda dau huyoo anaenda kumvulia chupi

Biee?

Hilo ndilo funzo la simulizi yako nililojifunza mimi sio vinginevyo
Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom