Unamshauri nini Harmonize baada ya kuyumba kidogo kwenye muziki?

Unamshauri nini Harmonize baada ya kuyumba kidogo kwenye muziki?

Kitu ambacho sipendi kwa harmonize anawekeza nguvu nyingi kwenye kiki kuliko kazi yake alafu kiki nyingi ni za kijinga hazikuzi brand yake ya mziki hasa hii ya hamisa mobetto kaprint mpaka Shati yenye sura ya hamisa wakati mwenzake ana mtu wake yeye anan'gan'gania kumpenda Kampala kala hela zake halijifunzi siku hamisa akaachana bwana wake huyo huyu harmonize atakamuliwa mpaka damu.
 
Sifa mojawapo ya kushuka, huwezi kuwa unatoa album kila mwaka alaf hazikupeleki popote inaonekana wazi huna mpango mkakati na pia ata album zenyewe kuwa duni kimauzo alaf bado ukajiita msanii mkubwa
Sasa tuambie albam ipi ya konde unaweza fananisha na msanii wako pendwa?
Pia kila albam ya konde kwny digital platform ina 1+mil streaming unasemaje zinafanya vbaya
 
Tuanze na boomplay - made it for us Ina 89m stream
Boomplay marioo ana album ina streams 100M+ ina ngoma 20+ ila hiyo album ata ngoma 5 zilizohit hakuna ila streams zimekuwa nyingi kwa vile kuna ngoma nyingi za zamani zenye streams nyingi aliziweka pia eg mi amor the same kwa harmonize, Ali kiba wamefanya hivyo.

FOA EP/KHAN EP ngoma zote ni mpya na zina streams 98M kwa 79M boomplay streams. FOA EP Spotify ina streams 11M.

Made for us Spotify ina streams ngapi licha ya kuweka pre released songs, nipe number za Spotify.
 
Boomplay marioo ana album ina streams 100M+ ina ngoma 20+ ila hiyo album ata ngoma 5 zilizohit hakuna ila streams zimekuwa nyingi kwa vile kuna ngoma nyingi za zamani zenye streams nyingi aliziweka pia eg mi amor the same kwa harmonize, Ali kiba wamefanya hivyo.

FOA EP/KHAN EP ngoma zote ni mpya na zina streams 98M kwa 79M boomplay streams. FOA EP Spotify ina streams 11M.

Made for us Spotify ina streams ngapi licha ya kuweka pre released songs, nipe number za Spotify.
Ngoma gani katika album ya made it FOR US Haija hit??
👉 My way
👉 Wote
👉Leave me alone
👉Die
👉UTA nikumbuka
 
Ngoma gani katika album ya made it FOR US Haija hit??
👉 My way
👉 Wote
👉Leave me alone
👉Die
👉UTA nikumbuka
Unajua kwanza maana ya kuhit? Kuhit sio sbb ww ngoma umeipenda bali ni numbers tu, ngoma ikiwa numbers kubwa hiyo imehit. Katika hizo ngoma hapo ni Wote na my way ila wote ndio imeongoza, na wote ndio ina streams nyingi boomplay kuliko zote hapo na ndiyo ngoma iliyokaa kwenye Tz top 100 songs boomplay charts kwenye top 10 kwa muda mrefu kuliko hizo zote. Made for us ngoma za zamani ndio zina streams nyingi kuliko ngoma mpya. Bado hujanipa Spotify streams
 
Screenshot_20231217-012329.png

Imagine ile sauti ya simba anavosema 'wee zombii' ilivo na vaibu. Sasa anapiga tena simba lakini this time anasema 'wee konde' 'haujui'...........ahaaaaaa jamni huyu mmakonde anajua sanaaa.
Hizo scrinshots zake hapo juu nakula magoma hayo ni motoooo

Mimi mpnz sana wa midundo na voko za namna ya konde ndomana hapo pia utaona kuna magoma mengine makali. Sasa hii kitu inapiga base moja ile ya studio!!! Yani ule mziki unauskia kama zombii anavoiskia pale pluto ndani....

Sema hizi bongo piano tuseme ni kali mnoo alafu maproduza naona wanatoa midundo mikali sana. Eti konde anasemaje, hii serious hatukohoi....mbele kidogo tena koo koooh.....hahahaha....sijalewaaa
 
View attachment 2844483
Imagine ile sauti ya simba anavosema 'wee zombii' ilivo na vaibu. Sasa anapiga tena simba lakini this time anasema 'wee konde' 'haujui'...........ahaaaaaa jamni huyu mmakonde anajua sanaaa.
Hizo scrinshots zake hapo juu nakula magoma hayo ni motoooo

Mimi mpnz sana wa midundo na voko za namna ya konde ndomana hapo pia utaona kuna magoma mengine makali. Sasa hii kitu inapiga base moja ile ya studio!!! Yani ule mziki unauskia kama zombii anavoiskia pale pluto ndani....

Sema hizi bongo piano tuseme ni kali mnoo alafu maproduza naona wanatoa midundo mikali sana. Eti konde anasemaje, hii serious hatukohoi....mbele kidogo tena koo koooh.....hahahaha....sijal
 

Attachments

  • Screenshot_20231217-012329.png
    Screenshot_20231217-012329.png
    31.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20231217-012903.png
    Screenshot_20231217-012903.png
    23.3 KB · Views: 4
Unajua kwanza maana ya kuhit? Kuhit sio sbb ww ngoma umeipenda bali ni numbers tu, ngoma ikiwa numbers kubwa hiyo imehit. Katika hizo ngoma hapo ni Wote na my way ila wote ndio imeongoza, na wote ndio ina streams nyingi boomplay kuliko zote hapo na ndiyo ngoma iliyokaa kwenye Tz top 100 songs boomplay charts kwenye top 10 kwa muda mrefu kuliko hizo zote. Made for us ngoma za zamani ndio zina streams nyingi kuliko ngoma mpya. Bado hujanipa Spotify streams
Bro mna jipya 😆🤣
FB_IMG_17030264249225246.jpg
 
Back
Top Bottom