Unamshauri nini Harmonize baada ya kuyumba kidogo kwenye muziki?

Unamshauri nini Harmonize baada ya kuyumba kidogo kwenye muziki?

Bro mna jipya 😆🤣
View attachment 2847624
FOA EP ina over 12M+ Spotify streams ndio EP/Album pekee kutoka East Africa yenye streams nyingi kwa albums/EP zilizotoka karibuni...... NOTE: ngoma zote 10 kutoka kwenye FOA ni mpya hakuna ngoma iliyotoka miezi 7 nyuma

Diamond platnumz huu mwaka ndiye msanii kutoka East Africa aliyesikilizwa zaidi katika mtandao wa Spotify, ana total streams 270M+....... hakuna msanii yeyote kutoka East Africa mwenye ata nusu ya hizo streams..........

Diamond platnumz ndio msanii pekee kutoka Tz/East Africa ambaye huu mwaka ngoma zake au featuring.... nyingi ndio zimeweza kufika M+ Spotify streams (yatapita 2M, Shuu 4M, Enjoy 2M, My baby remix 1.5M, Kolo kolo 6M, Sete remix, ........ na huu mwaka ana ngoma zisizozidi 10.

Hayo ni baadhi tu kutoka mjini Spotify zama ndichi ulete kipya chenu......... watu wamekuwa wakifanya maajabu miaka nenda rudi na ndio maana unawaona kwenye matamasha na tuzo kubwa duniani km MTV EMA au Afro nation......... maajabu yenu nyie ni kwa nyie wenyewe na sio maajabu kwenye tasnia ya burudani na ndio maana nyie ni Mzuki mnene tu....... kama unabisha post na show ya liberia km hamkuwa 8
 
FOA EP ina over 12M+ Spotify streams ndio EP/Album pekee kutoka East Africa yenye streams nyingi kwa albums/EP zilizotoka karibuni...... NOTE: ngoma zote 10 kutoka kwenye FOA ni mpya hakuna ngoma iliyotoka miezi 7 nyuma

Diamond platnumz huu mwaka ndiye msanii kutoka East Africa aliyesikilizwa zaidi katika mtandao wa Spotify, ana total streams 270M+....... hakuna msanii yeyote kutoka East Africa mwenye ata nusu ya hizo streams..........

Diamond platnumz ndio msanii pekee kutoka Tz/East Africa ambaye huu mwaka ngoma zake au featuring.... nyingi ndio zimeweza kufika M+ Spotify streams (yatapita 2M, Shuu 4M, Enjoy 2M, My baby remix 1.5M, Kolo kolo 6M, Sete remix, ........ na huu mwaka ana ngoma zisizozidi 10.

Hayo ni baadhi tu kutoka mjini Spotify zama ndichi ulete kipya chenu......... watu wamekuwa wakifanya maajabu miaka nenda rudi na ndio maana unawaona kwenye matamasha na tuzo kubwa duniani km MTV EMA au Afro nation......... maajabu yenu nyie ni kwa nyie wenyewe na sio maajabu kwenye tasnia ya burudani na ndio maana nyie ni Mzuki mnene tu....... kama unabisha post na show ya liberia km hamkuwa 8
Kaka hebu iangalie single again uonee😆🤣🤣😂
 
Kaka hebu iangalie single again uonee😆🤣🤣😂
Unaniambia niangalie single again tu wakati msanii ana album 2 kila mwaka na singles 10 ila umekazania ngoma 1 tu ww mwenyewe hujishangai? Album 2 na singles 10 kila mwaka msanii alaf hit iwe moja hapo msanii anajidhihirisha kuwa yy ni msanii mchanga...... em nipe namba zake za Spotify kwanza maana ata mapopo by mavokali na yenyewe ilitembea sana Spotify na kufikisha zaidi ya streams 6M+ streams
 
Unaniambia niangalie single again tu wakati msanii ana album 2 kila mwaka na singles 10 ila umekazania ngoma 1 tu ww mwenyewe hujishangai? Album 2 na singles 10 kila mwaka msanii alaf hit iwe moja hapo msanii anajidhihirisha kuwa yy ni msanii mchanga...... em nipe namba zake za Spotify kwanza maana ata mapopo by mavokali na yenyewe ilitembea sana Spotify na kufikisha zaidi ya streams 6M+ streams
Acha kulia Lia bhana😂🤣😆, leta namba ziongee
 
Acha kulia Lia bhana😂🤣😆, leta namba ziongee
Mbona unadandia mambo, mimi si ndio nimekwambia ulete namba za msanii wako au hujui kwa kuzipata 😂 😂 unasubiri wakupostie ndio ulete na mmakonde watu km nyie anawaokota sana....... leta namba za Spotify na show ya liberia
 
Mbona unadandia mambo, mimi si ndio nimekwambia ulete namba za msanii wako au hujui kwa kuzipata 😂 😂 unasubiri wakupostie ndio ulete na mmakonde watu km nyie anawaokota sana....... leta namba za Spotify na show ya liberia
Screenshot_20231220-185447_1.jpg
 
Acha kulia Lia bhana😂🤣😆, leta namba

Nikupe darasa la bure falling for u ulijue kuwa hizo streams haziwi counted kwake bali ana share listerners tu na hizo unazo ziona hapo zilizobakia ndio popular streams hakuna cha ajabu hapo, album yenu inakimbizwa na dvoice anacho fanya mmakonde ni ku upload ngoma za zamani kwenye album mpya yaani kwa kifupi single again ndio ina namba ila album ngoma zote hakuna kitu, bisha kwa hoja
 
Na kwa kifupi tu huu mwaka Diamond ndio ameongoza kwa mauzo kwa kila platform unayo ijua ww kasoro charts za clouds na efm tu..... ila kuanzia tuzo, mauzo, shows, trends hakuna msanii yyte anayemfikia ata robo.... kama yupo mtaje
Kaka boom play single again Ina 45m+, leta ngoma ya Jamaa yako yenye streams hizo😌
 
Kaka boom play single again Ina 45m+, leta ngoma ya Jamaa yako yenye streams hizo😌
Kaka...... harmo boomplay huu mwaka ukitoa album ya visit bongo.... SA remix ft ruger 1.5 na Morning call 1.2M = 2.7M....... single again 45M huku Visit bongo ikiwa na 49M....... kwa maana hiyo ukitoa single again, 4M streams zimegawana kwa ngoma 13 😂 😂 😂....... Yaan ukitoa Single again yenye 45M the rest 13 songs kwa ujumla zina 4M streams. 49M Visit bongo streams + 2.7 = 51.7M ndio jumla ya boomplay streams kwa harmonize....... NOTE: ana singles zaidi ya 10 na album juu 😂 😂 😂

Diamond, My baby 5.7M, Yatapita 24.5M, Zuwena 14.2M, My baby remix 7.8M, Shu 3.2, Achii 9M, Overdose 1.6M, Pounds & Dollars 900K+, Happy birthday 500K+ = 67.4M+ boomplay streams bila album...... Hapo vp kaka kuna jingine la ziada 😂 😂 😂
 
Kaka...... harmo boomplay huu mwaka ukitoa album ya visit bongo.... SA remix ft ruger 1.5 na Morning call 1.2M = 2.7M....... single again 45M huku Visit bongo ikiwa na 49M....... kwa maana hiyo ukitoa single again, 4M streams zimegawana kwa ngoma 13 😂 😂 😂....... Yaan ukitoa Single again yenye 45M the rest 13 songs kwa ujumla zina 4M streams. 49M Visit bongo streams + 2.7 = 51.7M ndio jumla ya boomplay streams kwa harmonize....... NOTE: ana singles zaidi ya 10 na album juu 😂 😂 😂

Diamond, My baby 5.7M, Yatapita 24.5M, Zuwena 14.2M, My baby remix 7.8M, Shu 3.2, Achii 9M, Overdose 1.6M, Pounds & Dollars 900K+, Happy birthday 500K+ = 67.4M+ boomplay streams bila album...... Hapo vp kaka kuna jingine la ziada 😂 😂 😂
Na pia FOA EP ina 100M boomplay streams na ndio album/ep yenye streams nyingi zaidi East Africa bila makandokando yaani mikwaju yote ni mpya hakuna ngoma iliyotoka awali na ndio album/ep yenye tuzo ya kimataifa na ndio album ndani ya Tz yenye streams nyingi zaidi Spotify
 
Hapa nachokiona Harmonize na Diamond ni wakubwa. Mmoja Legend mwneye fans base kubwa aliyoitengeneza kwa Miaka 10+ halafu mwingine ni fast growing ambae kwa Miaka 5+ ametengenezwa, na kukulia ndani ya fans base ya mtu na baadae kwenda kutengeneza fans base yake ambayo ni "we win together we loose together" kitu ambacho kwa bongo hakikuwepo kwa miaka mingi, huku tukiuweka kando uhasimu wa Simba na Mfalme. Harmonize amepambana na anazidi kupambana na anaonesha Uthabiti japo Accuracy ya kazi zake ni wave like.
 
Hapa nachokiona Harmonize na Diamond ni wakubwa. Mmoja Legend mwneye fans base kubwa aliyoitengeneza kwa Miaka 10+ halafu mwingine ni fast growing ambae kwa Miaka 5+ ametengenezwa, na kukulia ndani ya fans base ya mtu na baadae kwenda kutengeneza fans base yake ambayo ni "we win together we loose together" kitu ambacho kwa bongo hakikuwepo kwa miaka mingi, huku tukiuweka kando uhasimu wa Simba na Mfalme. Harmonize amepambana na anazidi kupambana na anaonesha Uthabiti japo Accuracy ya kazi zake ni wave like.
Fast growing?????? Acha utani ndugu msanii ana album 4 ndani ya miaka 5 singles 10 kila mwaka alaf unaita fast growing na anapambana????? Jaymelody au Marioo wana namba kubwa binafsi bila mgongo wa Simba...... mfano Jaymelody km over 100M boomplay streams bila EP/album imagine angekuwa anatoa album kila mwaka. Fast growing hajawahi panda jukwaa llte kubwa la kimuziki si Africa wala duniani...... Fast growing hana tuzo wala nomination yyte kubwa ndani ya miaka 5 alaf unasema Fast growing?????? Fast growing hajawahi kuombwa collabo na wasanii wakubwa Africa licha ya kuwa na miaka 9 kwenye game??????? Watz huwa tuna shida ya quality over quantity tunaamini sana quantity over quality km kipimo cha bora mfano kuna watu wanamsifu et ana weka record kwa kuwa na album nyingi as if hii miaka ni ajabu kurecord ngoma....... Fast growing ambaye hana ata ushawishi kwa label yake
 
Fast growing?????? Acha utani ndugu msanii ana album 4 ndani ya miaka 5 singles 10 kila mwaka alaf unaita fast growing na anapambana????? Jaymelody au Marioo wana namba kubwa binafsi bila mgongo wa Simba...... mfano Jaymelody km over 100M boomplay streams bila EP/album imagine angekuwa anatoa album kila mwaka. Fast growing hajawahi panda jukwaa llte kubwa la kimuziki si Africa wala duniani...... Fast growing hana tuzo wala nomination yyte kubwa ndani ya miaka 5 alaf unasema Fast growing?????? Fast growing hajawahi kuombwa collabo na wasanii wakubwa Africa licha ya kuwa na miaka 9 kwenye game??????? Watz huwa tuna shida ya quality over quantity tunaamini sana quantity over quality km kipimo cha bora mfano kuna watu wanamsifu et ana weka record kwa kuwa na album nyingi as if hii miaka ni ajabu kurecord ngoma....... Fast growing ambaye hana ata ushawishi kwa label yake
Ni mtazamo wangu mkuu, kulingana na nilipoanza kuuelewa mzika mpaka leo.

Kama kigezo cha fast growing kwako ni Majukwaaa makubwa na Awards from there you are right ,

Naomba kufahamu kuhusu ushawishi kwa label yake umepoteaje mkuu.
 
Fast growing?????? Acha utani ndugu msanii ana album 4 ndani ya miaka 5 singles 10 kila mwaka alaf unaita fast growing na anapambana????? Jaymelody au Marioo wana namba kubwa binafsi bila mgongo wa Simba...... mfano Jaymelody km over 100M boomplay streams bila EP/album imagine angekuwa anatoa album kila mwaka. Fast growing hajawahi panda jukwaa llte kubwa la kimuziki si Africa wala duniani...... Fast growing hana tuzo wala nomination yyte kubwa ndani ya miaka 5 alaf unasema Fast growing?????? Fast growing hajawahi kuombwa collabo na wasanii wakubwa Africa licha ya kuwa na miaka 9 kwenye game??????? Watz huwa tuna shida ya quality over quantity tunaamini sana quantity over quality km kipimo cha bora mfano kuna watu wanamsifu et ana weka record kwa kuwa na album nyingi as if hii miaka ni ajabu kurecord ngoma....... Fast growing ambaye hana ata ushawishi kwa label yake
Hao kina Jay Melody SI watie hizo album tuone, Afu tuzo 3 za mmakonde zime kuwa ndogo Tena 😆🤣
 
Ni mtazamo wangu mkuu, kulingana na nilipoanza kuuelewa mzika mpaka leo.

Kama kigezo cha fast growing kwako ni Majukwaaa makubwa na Awards from there you are right ,

Naomba kufahamu kuhusu ushawishi kwa label yake umepoteaje mkuu.
Labda nikuulize mkuu maswali yafuatayo; ibraah ni msanii mkubwa/mdogo/ au underground?

Kondegang chanzo cha mapato ni harmonize tu kupitia mauzo ya kazi na shows na ndio maana kila uchwao anaachia kazi...... kama kuna chanzo kingine cha mapato ningependa ukitaje.

Harmonize bado anatumia brand aliyojengewa na WCB maana km angekuwa na ushawishi angeweza ku influence ushawishi wake miongoni mwa watu wake yaani kuwe na influential people..... jembe kitambo tu anajulikana

Na pia kutokuwa na ushawishi kwa label yake, je anavutia washirika mbalimbali wa kibiashara? Label km label shughuli nyingi za kiburudani zipo centred kwa msanii yupi, wasanii wote au mmoja kwenye label? Label inakua kimuziki yaani wasanii ndani ya label wanakuwa ki shows, tuzo au ubalozi? Hayo tu kwa ufupi.

Na pia ningeomba u define a fast growing artist.
 
Kaka hatujamaliza boomplay umekuja tuzo 😂 😂 😂. Hv ile tuzo ya King of the East and afro bongo alipewa kwa minadi ipi????????

Msanii ambaye katika usiku wa tuzo yy kabeba tuzo zote kubwa....... best artist in Africa lkn meneja wake amekosa tuzo ya best manager wakati msanii wake amewakimbiza wasanii wote 😂😂 😂 😂

Unaambiwa msanii ana over 100M streams bila ep/album yaani ni singles tu ila bado huelewi tu kaka hadi ushikiwe fimbo ndio utaelewa au 😂 😂 😂 ila kaka nakuomba ujibu kwanza la boomplay ndio uje kwenye tuzo leo kila jiwe lazima ligeuzwe
 
Back
Top Bottom