Unamshauri nini kijana asiye na ajira ambaye yupo tu mtaani?

Unamshauri nini kijana asiye na ajira ambaye yupo tu mtaani?

Ali Nassor Px

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,384
Reaction score
3,926
Nadhani kila moja wetu anafahmu kuwa hali ya maisha now imekuwa ngumu hususani kwenye swala zima la kipato na matumizi yapo juu sana. mpaka inapelekea maisha yanakuwa magumu sana, kila mtaa utakao pita utakuna na bodaboda.

Siyo kazi mbaya ila ndio kazi ambayo vijana wengi wanaweza kuifanya kupata ridhiki zao.

Sasa leo mchana nilikaa na ndugu yangu yeye kamaliza chuo lakini yupo tu mtaani, kaniuliza hivi kama nikikuomba ushauri nifanye kazi ili niingize kipato utanishauri nifanye kazi gani ghafla ghafla nimekosa jibu la kumpa.

Enyi wana jamiiforums naomba tushirikiane katika kutoa mawazo ya idea za biashara zenye uitaji wa mtaji wa kuanzia laki 1 na nusu hadi laki 3 ambazo zinaweza kuwasaidia hawa vijana wasio na ajira kuingiza kipato

Karibuni kwenye mjadala
 
Nadhani kila moja wetu anafahmu kuwa hali ya maisha now imekuwa ngumu.

ususani kwenye swala zima la kipato na matumizi yapo juu sana. mpaka inapelekea maisha yanakuwa magumu sana. kila mtaa utakao pita utakuna na bodaboda.


sio kazi mbaya ila ndio kazi ambayo vijana wengi wanaweza kuifanya kupata riziki zao.

sasa leo mchana nilikaa na ndugu yangu yeye kamaliza chuo lakini yupo tu mtaani .

leo kaniuliza hivi kama nikikuomba ushauri nifanye kazi ili niingize kipato utanishauri nifanye kazi gani ghafla ghafla nimekosa jibu la kumpa.

enyi wana jamiiforums naomba tushirikiane katika kutoa mawazo ya idea za

••• biashara zenye uitaji wa mtaji wa kuanzia laki 1 na nusu hadi laki 3

ambazo zinaweza kuwasaidia hawa vijana wasio na ajira kuingiza kipato

karibuni kwenye mjadala
Ungemuuliza kwanza huyo ndugu yako ana future gani ndani ya miaka mitano ijayo anategemea apige hatua gani mana kukaa bila kufanya kazi ni dalili ya mtu kukata tamaa
 
Ungemuuliza kwanza huyo ndugu yako ana future gani ndani ya miaka mitano ijayo anategemea apige hatua gani mana kukaa bila kufanya kazi ni dalili ya mtu kukata tamaa
inawezekan ikaw kwel ila kukaa mtu bila kufanya kazi pia inawezkn ikawa n dalili ya mtu kushindwa kufkria msaada wa mawaz ya biashar unaitajk zaid
 
Back
Top Bottom