Unamshauri nini kijana huyu wa zaidi ya zaidi ya miaka 40, ambaye hajaoa, hana mtoto wala ajira mpaka sasa anakaribia kutokua na sifa za kuajiriwa?

Unamshauri nini kijana huyu wa zaidi ya zaidi ya miaka 40, ambaye hajaoa, hana mtoto wala ajira mpaka sasa anakaribia kutokua na sifa za kuajiriwa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
My Friends, ladies and gentlemen,
Heri ya mwaka mpya 2025.

Kama hoja ilivyo wazi hapo mezani,
nini mawaidha yako mwaka huu mpya wa 2025, kwa vijana graduates wa kike na wa kiume wa umri ambao nimeuanisha hapo juu, ambao bado wanaishi kwa wazazi wao, hawajaoa wala hajaolewa?

Kumbuka pia kijana hana ajira, biashara wala hajishughulishi na chochote, huku umri wa kuajiriwa nao unamtupa mkono kimasihara masihara tu.

Nimeonelea ni muhimu kusaidiana kwa mawazo na matendo, na zaidi sana kuaambiana ukweli, lakini pia kuonyeshana njia muafaka ya kutoka kwenye huo mkwamo wa kifedhea wa maisha wanayopitia.

Kumbuka, kijana akiambiwa suala la mchango tu, baada ya kuplage anazima na simu kabisa maana ni mtu mzima lakini hana jambo lolote kiuchumi.

Ni upi ushauri wako kwa vijana katika msimu huu wa kilimo na mwaka mpya2025?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Hali ni mbaya sana huku uraiani. Si kwa vijana tu ila na mabinti. Sasa bora huyo akikaza pumbu anaweza toboa akavuta binti wa miaka kati ya 20 hadi 30 akaoa na wakafanya life.

Umemuwazia mtoto wa kike ambaye yupo 26 hadi 35 hana kazi maalumu anaishi magetoni na wadada wenzake,hana mahusiano serious? Huyu hata umpe ajira leo eneo la mahusiano ana vita kubwa sana mzee.
 
My Friends, ladies and gentlemen,
Heri ya mwaka mpya 2025.

Kama hoja ilivyo wazi hapo mezani,
nini mawaidha yako mwaka huu mpya wa 2025, kwa vijana graduates wa umri ambao nimeuanisha hapo juu, ambao bado wanaishi kwa wazazi wao, hawajaoa wala hajaolewa?

Kumbuka pia kijana hana ajira, biashara wala hajishughulishi na chochote, huku umri wa kuajiriwa nao unamtupa mkono kimasihara masihara tu.

Nimeonelea ni muhimu kusaidiana kwa mawazo na matendo, na zaidi sana kuaambiana ukweli, lakini pia kuonyeshana njia muafaka ya kutoka kwenye huo mkwamo wa kifedhea wa maisha wanayopitia.

Kumbuka,
kijana akiambiwa suala la mchango tu, baada ya kuplage anazima na simu kabisa maana ni mtu mzima lakini hana jambo lolote kiuchumi.

Ni upi ushauri wako kwa vijana katika msimu huu wa kilimo na mwaka mpya2025?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
tuambie kasomea elimu gani?
 
Sisi wauza uduvi tulio na umri huo tunaambiwa hivi.
Hii ni haki kweli ?
1735736272200.jpg
 
Hali ni mbaya sana huku uraiani. Si kwa vijana tu ila na mabinti. Sasa bora huyo akikaza pumbu anaweza toboa akavuta binti wa miaka kati ya 20 hadi 30 akaoa na wakafanya life.

Umemuwazia mtoto wa kike ambaye yupo 26 hadi 35 hana kazi maalumu anaishi magetoni na wadada wenzake,hana mahusiano serious? Huyu hata umpe ajira leo eneo la mahusiano ana vita kubwa sana mzee.
rudini nyumbani vijijini ndugu zangu, ahueni na fursa ni kubwa mno ukijizatiti tu bila kukata tamaa kwenye kilimo biashara na ufugaji unatoboa kwa wepesi sana,

msing'ang'ane sana town kusikoeleweka wala kutabirika siku hizi 🐒
 
tuambie kasomea elimu gani?
Licha ya kwamba kwenye kichwa cha hoja nimemlenga kijana,

but lengo langu ni kuwalenga vijana wa jinsia zote ambao ni kundi kubwa zaidi lililo kwenye mkwamo ambao nadhani maoni, ushauri na mawaidha ya wadau yanaweza kuwakwamua kwenye mkwamo ambao unawazonga 🐒
 
Nimenunua fimbo au mjeledi kutoka makao makuu ya polisi ,mwaka Jana kwajili ya wanaume kama hao .

Tafadhali nipe location ya anapoishi huyo jamaa nikamtie bakora
kumwambia ukweli ni kiboko muhimu na cha maana sana gentleman 🐒
 
My Friends, ladies and gentlemen,
Heri ya mwaka mpya 2025.

Kama hoja ilivyo wazi hapo mezani,
nini mawaidha yako mwaka huu mpya wa 2025, kwa vijana graduates wa kike na wa kiume wa umri ambao nimeuanisha hapo juu, ambao bado wanaishi kwa wazazi wao, hawajaoa wala hajaolewa?

Kumbuka pia kijana hana ajira, biashara wala hajishughulishi na chochote, huku umri wa kuajiriwa nao unamtupa mkono kimasihara masihara tu.

Nimeonelea ni muhimu kusaidiana kwa mawazo na matendo, na zaidi sana kuaambiana ukweli, lakini pia kuonyeshana njia muafaka ya kutoka kwenye huo mkwamo wa kifedhea wa maisha wanayopitia.

Kumbuka,
kijana akiambiwa suala la mchango tu, baada ya kuplage anazima na simu kabisa maana ni mtu mzima lakini hana jambo lolote kiuchumi.

Ni upi ushauri wako kwa vijana katika msimu huu wa kilimo na mwaka mpya2025?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Huyó siyo kijana. Ni Mzee badilisha heading
 
Naona leo umekuja na mada nyingine tofauti na upupu wa kisiasa. Huyo kijana ni mtu mzima na ana umri mkubwa. Kwanza asichague kazi, afanye kazi halali hata kama ni kuzibua vyoo, kuzoa taka kwenye madampo, aangalie ana kipaji gani kinachoendana na umri wake. Kuhusu kupata mtoto umri bado mzuri kuzaa, wapo mabinti wadogo hawajali umri wa mtu wa kutoka naye kimapenzi na kuzaa naye wanachotaka ni hela tu. Huyo kijana atafute hela, akiwa na hela umri huo anaweza kuzalisha mabinti hata watano kwa muda mfupi akawa tayari ana watoto hata kama ni mama tofauti inatosha kuliko kuja kufa hana hata mtoto mmoja waombolezaji watamuona ni fala fulani hivi aliyeshindwa kutumia talanta zake vema alizojaliwa na Mungu
kumbe ukiwa hujanywa kisungura una IQ nzuri tu,

Ila bado una mawenge kidogo,
unachanganya mambo muhimu na mzaha. Hii inaonyesha ulivyo.

Ukiongeza juhudi kidogo unaweza kua mtu wa maana mwaka huu mpya 🐒
 
Back
Top Bottom