Unamshauri Tundu Lissu ajiunge na chama gani ikiwa atashindwa uenyekiti Taifa CHADEMA?

Unamshauri Tundu Lissu ajiunge na chama gani ikiwa atashindwa uenyekiti Taifa CHADEMA?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala hayupo wa kudhoofisha.

Na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua wazi tayari hangeshinda nafasi ile na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi kupitia Chadema Oct 2025.

Chaguo lake la kukurupuka hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu wa kiwango cha juu sana, kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k ni uongo wa mchana kweupe. Sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference kwenye ahadi zake hewa.

Kama mdau na mshauri wa masuala ya siasa na demokrasia humu JF na nchini Tanzania kwa ujumla,

Tundu Antipas Mughwai Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini huenda vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, chairman nguvu na ushawishi wa chairman mbowe hauzuiliki, na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua tayari hangeshinda na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi.

Chaguo laki hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda Mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k, sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference.

Kama mdau na mshauri wa siasa na demokrasia nchini Tanzania,

Tundu Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Chauma akale ubwabwa
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, chairman nguvu na ushawishi wa chairman mbowe hauzuiliki, na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua tayari hangeshinda na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi.

Chaguo laki hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda Mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k, sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference.

Kama mdau na mshauri wa siasa na demokrasia nchini Tanzania,

Tundu Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Subiri matokeo, punguza ramli chonganishi
 
Tlaatlaah ukiamka TAL ukilala TAL ukienda chooni TAL punguza hizo bro huna kazi ya kufanya. Nyuzi ulizoziandika kuhusu TAL/CDM zinatosha sasa
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala hayupo wa kudhoofisha.

Na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua wazi tayari hangeshinda nafasi ile na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi kupitia Chadema Oct 2025.

Chaguo laki hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda Mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k, sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference.

Kama mdau na mshauri wa siasa na demokrasia nchini Tanzania,

Tundu Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
CHAMA CHA WALAJI TANZANIA.
 
Kama ikitokea uchaguzi ukawa na figisu na unatarajiwa kuwa na figisu, basi nnashauri tumchangie pesa anunue chama cha cuf, amuondoe lipumba na aanze kukikuza chama,cuf ni maarufu
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala hayupo wa kudhoofisha.

Na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua wazi tayari hangeshinda nafasi ile na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi kupitia Chadema Oct 2025.

Chaguo lake la kukurupuka hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu wa kiwango cha juu sana, kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k, sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference.

Kama mdau na mshauri wa siasa na demokrasia nchini Tanzania,

Tundu Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Punguza upumbavu na utoto.
Huwezi kuacha kuandika kuhusu TL kila Dk?

Moderator mna uhusiano gani na huyu mtu? Nyuzi zake content ni ileile.
 
Punguza upumbavu na utoto.
Huwezi kuacha kuandika kuhusu TL kila Dk?

Moderator mna uhusiano gani na huyu mtu? Nyuzi zake content ni ileile.
Yes gentleman,
content ni uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa Jan.21.2025, na ni muhimu sana wataalamu wa siasa, tukauchaumbu, tukaufafanua kwa faida ya kuongeza uelewa na ufahamu wa wadau wa JF kuhusu mambo haya ambayo ni uhuru na haki kwa kila mwanafamilia wa JF kuyafahamu.

chuki zako binafsi hasa baada ya kufilisika mawazo mapya au baada ya kufikia ukomo wako wa mwisho wa fikra mbadala, na kujikuta una mihemko na makasiriko tu,

hayo ni mambo binafsi, yafaa uyatafutie suluhisho binafsi Lakini sio kumbwelambwela humu jukwaani 🤣
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala hayupo wa kudhoofisha.

Na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua wazi tayari hangeshinda nafasi ile na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi kupitia Chadema Oct 2025.

Chaguo lake la kukurupuka hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu wa kiwango cha juu sana, kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k ni uongo wa mchana kweupe. Sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference kwenye ahadi zake hewa.

Kama mdau na mshauri wa masuala ya siasa na demokrasia humu JF na nchini Tanzania kwa ujumla,

Tundu Antipas Mughwai Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini huenda vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Unamshauri Nini SAMIA SULUHU HASSAN MAMA ABDUL, baada ya kushindwa Urais.

Akakae WAPI??

Kizimkazi au UARABUNI kwa WAARABU?? aliyewauzia Bandari na mbuga za wanyama ?
🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴
 
Kama ikitokea uchaguzi ukawa na figisu na unatarajiwa kuwa na figisu, basi nnashauri tumchangie pesa anunue chama cha cuf, amuondoe lipumba na aanze kukikuza chama,cuf ni maarufu
hayo si yatakua mapinduzi sasa gentleman? hakuna namna nyingine mbadala ya kistaarabu? 🐒
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala hayupo wa kudhoofisha.

Na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua wazi tayari hangeshinda nafasi ile na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi kupitia Chadema Oct 2025.

Chaguo lake la kukurupuka hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu wa kiwango cha juu sana, kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k ni uongo wa mchana kweupe. Sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference kwenye ahadi zake hewa.

Kama mdau na mshauri wa masuala ya siasa na demokrasia humu JF na nchini Tanzania kwa ujumla,

Tundu Antipas Mughwai Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini huenda vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.
Ccm inamuogopa LISSU ukoma unasubiri
 
chuki zako binafsi hasa baada ya kufilisika mawazo mapya au baada ya kufikia ukomo wako wa mwisho wa fikra mbadala, na k
Chuki kwa lipi mtoto?
Binafsi naona unachokiandika ni kilekile, Kwa mapenzi yako na Mbowe shida ipo wapi ukiwashawishi wanachama huko kwenye mkutano mkuu kuliko kila dk kuleta uzi hapa?
 
Kwasababu ni wazi,
mpaka sasa matumaini hakuna tena, Tundu Lisu amekata tamaa kabisa. Nguvu ya kisiasa, uwezo wa kiuchmi na ushawishi wa hoja wa chairman mbowe kwa wajumbe hauzuiliki kabisaa wala hayupo wa kudhoofisha.

Na kumbuka, Tundu Lisu mpaka kuamua kugombea uenyekiti na kuacha umakamu wenyekiti ni kwasasabu alijua wazi tayari hangeshinda nafasi ile na kwahivyo hangeweza kua mgombea urasi kupitia Chadema Oct 2025.

Chaguo lake la kukurupuka hivi sasa ni funyu mno, na ni moja tu ndani ya Chadema, ambalo ni kushinda uchaguzi katika nafasi ya uenyekiti wa Chadema Taifa, nafasi ambayo kushinda kwake kuna ugumu wa kiwango cha juu sana, kama ule wa ngamia kupita katika tundu la sindano.

Kwa kifupi,
hakuna uwezekano huo, wala hakuna fursa wala nafasi kwa Tundu Lisu kumshinda mwenyekiti alieko madarakani hivi sasa pale Chadema.

Zaidi sana,
hakuna mazingira wala uwezekano wa Tundu Lisu kubaki na kuishi tena ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo. Kama kawaida yake ya kujipambanua kinafiki kwamba ooh ahami mtu Chadema, sijui ooh tutabanana humu humu n.k ni uongo wa mchana kweupe. Sote tunafahamu mdomo wa na tabia za muungawana kukana maneno yake mwenyewe baadae. Hakuna haja ya kukeep reference kwenye ahadi zake hewa.

Kama mdau na mshauri wa masuala ya siasa na demokrasia humu JF na nchini Tanzania kwa ujumla,

Tundu Antipas Mughwai Lisu atakaposhindwa uchaguzi huo kwa fedheha sana, una mshauri ajiunge na chama gani cha siasa ili akaendeleze siasa zake za ubinafsi, ubishi na kuropoka ropoka?

Na,
unadhani vyama gani vya siasa humu nchini huenda vitamkataa au kumpokea?🐒

Mungu Ibarki Tanzania.

Mbona nyie hamuondoki kwenye kundi lenu mkishindwa? Hujamsikia keshajibu vihoja vyo mnavyoleta kila siku kwa kubadilibadili vijisentensi tu
 
CCM apewe zawadi ya ubalozi
hawezi kua kama mzee slaa kweli gentleman, mtu wa tamaa, ubinafsi na usaliti?

si unaona laana inavyomtesa korokoroni na hakuna hata anaempigia kelele?🐒
 
TAL anashinda uchaguzi, Mbowe hana numbers za kuweza pindua matokeo, ndio maana hadi sasa unaona yupo kinyonge sana akihubiri umoja baada ya uchaguzi kuisha, maana anajua tayari numbers hazidanganyi.

TAL aligombea TLS, figisu zikawa hivi hivi na akatoboa, Mwabukusi alikutana na Figisu hizi hizi na akatoboa TLS.

Sio kwamba kila unapopata uungwaji mkono na mamlaka basi they are willing to go extra mile kwa ajili yako, usipobebeka basi wanakutema tu.
 
Back
Top Bottom