Unamshauri Tundu Lissu ajiunge na chama gani ikiwa atashindwa uenyekiti Taifa CHADEMA?

Chuki kwa lipi mtoto?
Binafsi naona unachokiandika ni kilekile, Kwa mapenzi yako na Mbowe shida ipo wapi ukiwashawishi wanachama huko kwenye mkutano mkuu kuliko kila dk kuleta uzi hapa?
gentleman,
umekunywa chai kweli this morning?

kuna uchaguzi Jan.21.2025 ama hujui?
na unaweza kubadilisha huo uchaguzi ukauita nini kwa mfano, ili wadau tujifunze pia? ati content ni ile ile 🀣

We inaonekana kwa chuki zako binafsi, umeichoka hata JF Jukwaa la Siasa, kwasababu jukwaa ni lile lile, na content ni lazima ziwe za siasa tangu kuanzishwa kwake πŸ’
 
Gentleman nadhani,
unapozungumzia numbers ni muhimu zaidi kuzingatia idadi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa, kulingana na kanda 10 za kiutawala Chadema, misimamo ya wakuu wa kanda hizo na influence zao kwa wajumbe, misimamo ya wenyeviti wa mikoa na wilaya na ushawishi wao kwa wajumbe wanaowaongoza.

kuzingatia makelele na ndururu za mitandaoni zitaumbua watu halafu wakaanza kuangua vilio na mayowe yasiyo na ukomo.

hayupo wa kumshinda Freeman Aikaeli Mbowe in terms of numbers πŸ’
 
NTobi tangu uondolewe marakani unapapara kweli
 
Ndio kazi yake kaka πŸ˜‚πŸ˜‚ mwanzo walikuwa wanajulikana kama Lumumba buku saba, saivi mama kawaongezea posho wanalipwa 20k kwa siku ili kusukuma hashtag mtandaoni
 
Aje awe baba yako nyumbani kwenu.
 
Kwani huko CCM hamshindwi kwenye uΓ§haguzi? Huwa mkishindwa mnahamia chama gani ili tundu nae akishindwa ajiunge huko.
 
Ndio kazi yake kaka πŸ˜‚πŸ˜‚ mwanzo walikuwa wanajulikana kama Lumumba buku saba, saivi mama kawaongezea posho wanalipwa 20k kwa siku ili kusukuma hashtag mtandaoni
waelezee vizur wadau wa JF kwa kina kifup zaidi gentleman πŸ’
 
Ndio kazi yake kaka πŸ˜‚πŸ˜‚ mwanzo walikuwa wanajulikana kama Lumumba buku saba, saivi mama kawaongezea posho wanalipwa 20k kwa siku ili kusukuma hashtag mtandaoni
waelezee vizur wadau wa JF kwa kina kifup zaidi gentleman πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…