Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Cariha yule mnaesemaga mtata,Mimi nawapenda wanawake ambao emotionally ni intelligent 😁😁😁
 
Raha ya mgeni akaribishwe ndani,ila wewe umefunga milango. Fungua pm tuyajenge Mwakani muda Kama huu tumlete Satoh Jr.πŸ˜…πŸ˜…
Halafu wewe ya nini kwambia dada yangu yote haya
Me niliku PM nkaona umechelewa kujibu nikafuta
Leo sijalala kwa kuwaza kwanini hukunijibu wakati nilikwambia kunywa energy maana tunakesha jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…