ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Cariha yule mnaesemaga mtata,Mimi nawapenda wanawake ambao emotionally ni intelligent πππKama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.
ππππ
Raha ya mgeni akaribishwe ndani,ila wewe umefunga milango. Fungua pm tuyajenge Mwakani muda Kama huu tumlete Satoh Jr.π πππππ
Tuko tayari kwenye pensiiii sitooooo
Sioni vizuri nishakua kipofu
Alikuja basi? Kila nikisubiri pm kuona ujumbe wowote Hadi kunakucha hollaah!!
Halafu wewe ya nini kwambia dada yangu yote hayaRaha ya mgeni akaribishwe ndani,ila wewe umefunga milango. Fungua pm tuyajenge Mwakani muda Kama huu tumlete Satoh Jr.π π
Mtoto muongo huyu sijapata ona!!Halafu wewe ya nini kwambia dada yangu yote haya
Me niliku PM nkaona umechelewa kujibu nikafuta
Leo sijalala kwa kuwaza kwanini hukunijibu wakati nilikwambia kunywa energy maana tunakesha jana
Ya kweli haya? Au mnachangamsha vijiweTatizo humu kuna wanaume wana ID za kike, unaweza kupandishana naye mzuka na inbox kama zote kumbe ni dume jameni...
πππππππππ
Nipo na watu wananiona tu nacheka na computer hapa hebu niacheni tafadhali...
Hii tabia ya mdogo wako kunifanya Kama kifarannga imenichosha kwa kweli. Mwambie tu malipo hapa hapa duniani!!πππππ
Nipo na watu wananiona tu nacheka na computer hapa hebu niacheni tafadhali...
πππππ
Kuanzia sasa nimetengua kauli. π ππππππ
Haya bana
JiueNina usshunguuuuu, naomba niache
Niletee kambaJiue
Girlie,Jiue