Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeshaisha hiyo,tumeanzia hapa twamalizia hapaMzamie ndani, myajenge
Hiyo kutaja gan ya kuulizwa kwanza 😂Tuma na yakutolea ushatajwa
🤣🤣🤣🤣Acha uongoKwa kweli afadhali kwa mara ya kwanza nakumbukwa..
Wewe kama una kazi ya kuosha vyombo uende ukaoshe.
😂😂 kilichokufanya urudi 1st page ni nini?Huyo ndio the man?
Chagua mmoja kwa afya ya mwili na kirohoMashangazi wote ninayatamani
Si ni process ngoja nifanye mchakato, naomba Lenie uwe na uvumilivu kipindi mchakato ukiendelea kufanyika 😅Tuone Invoice kama inashawishi
Mm namtaka yeyote aliye na umri wa miaka 40-50 humu ndani unaweza kudhani ni ID ya mwanamke kumbe ni mwanaume mwenye kende 2 kavu.
Mabinti wadogo wamenichosha.
Huyo ni reject, anapelekewa motoKama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
Usichoke kusubiri si unajua venye nnakukubali🥰Nawasubiri
Kumradhi. We ndiyo unampelekea? Unamjua?Huyo ni reject, anapelekewa moto
Hao sio binadamuBread and Fanta only....View attachment 2600312
Si nilitaka kujua ndio nisiwe kwa foleni.Hiyo kutaja gan ya kuuluzwa kwanza 😂
Njoo tuoshe woteWewe kama una kazi ya kuosha vyombo uende ukaoshe.
Mwangalie sikioniKumradhi. We ndiyo unampelekea? Unamjua?
Yule ni rejectHuyu unamla bila kachumbari 😋😋