Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Aaaweee hapana😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaweee hapana😁😁
Shemeji ni yupi?Kumekuuuchaaah....
😂 wanawake na hela mlifanyajwe?Tena za fasta fasta, aah zishanivuruga hapa😂
Mimi Niko hivyo nakuja inbox maana it been a while since I met with .....Jitahidi awe hivi View attachment 2600539
Kila mtu akicomment kitu tukagoogle. basi sawa.Kamsome Mkuu pitia hata university of Google
😂😂 uniombee sasa nisianguke vishawishini😋😋 Can't wait
Wacha nijipangie budget kabisa
[emoji23]Uamin maana watu wameambiwa watoe yamoyon wanachagua wenye nyota sie reli tutulieAaaweee hapana[emoji16][emoji16]
Ma'ke hapa n'cheke kwanza 😂Miaka kitu gani kwani? Ukuni upo au haupo? Tuanzie hapo kwanza😋
Tulichanjiwa nazo kwenye moyo, sio kupenda kwetu😂 wanawake na hela mlifanyajwe?
Hizo nywele kama panya abaki na u-hb wakesasa kama huyo hb atafikiriwa, sisi mapopoma si ndo basi tena 😂wanawake kazi kwelikweli.....
Weee nani kakuruhusu upost picha yangu humu? [emoji23]Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
Mtaje mrembo mmoja machachari, unayemuona ana swaga za kuwa mkeNkitajwa natoa hela😂
😂😂😂Umeona eeehhh mafusho muhimu😁😁😂!
Nipumzisheni jamani😅
Maana sio kupenda huko hela 😅Tulichanjiwa nazo kwenye moyo, sio kupenda kwetu
Tulia wewe😜Ma'ke hapa n'cheke kwanza 😂
hawa ni wazungu......Jitahidi awe hivi View attachment 2600539
😂😂😂🙌 tulia Dawa ikuingieNipumzisheni jamani😅
Sizitaki mbichiHizo nywele kama panya abaki na u-hb wake