Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamata fursa mzeeapa unaweza kuokota ganda
Fanya maamuzi magumu
Hawa mademu ni shida.... Mpaka sasa wamefika 37. Wanataka kuwa nami.... Na wawili nawafahamu madishi yao yamecheza. Hawapati network vizuri.Wote waliokuja PM wachukue 😀😀😀
Shemeji yetu ni yupi?[mention]Tinsley [/mention] njoo hapa
Comment chochote maana [mention]Poker [/mention] kashakufa
Huyo mmoja jinsia yake huwa inabadilika badilika kulingana na mahitaji ya muda huo.
Itabidi kujitathmini upyaWanawake usipotakwa kwenye huu uzi utajisikiaje/utajichukuliaje?.
Kweli lakini haya tunafunzwa na ulimwengu..Hayo sio maadili yetu
aje jamani 😂 mwambie anapendwa....😂Depal mdogo wangu, muujiza umekushukia..!😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wewe sio tall, dark, handsome?
Jibu upesi ili nijue kama nafuta comment yangu au naiacha
Hao ndio wazuri, na hii baridi!((wadada wengi humu JF ni vibonge haswaa.!!))
fanyeni mazoezi
Shemeji yetu ni yupi?
Aisee makubwa sana waoooView attachment 2600305
Awe hvi tu mpka nyumba na gari za urithi nampa
Aje hapa chapu kabla sijafirisika
🤣🤣🤣🤣🤣🤣To yeye nina miaka 26 naomba unifikirie
Kwanini ambaye hasuki? Jibu kabla hatujajaLast chance kama kuna dada ambae hasuki, anitafte chap 😂 I will give u everthying mamii😂
mna mvuto wa kipekee sana 😂pia nina sababu ya kuamini mizinga yenu ni michache....😂Kwanini ambaye hasuki? Jibu kabla hatujaja
Usije kututoa kafara bure na mapara yetu
Looh kumbe ishu ni mizinga😂mna mvuto wa kipekee sana 😂pia nina sababu ya kuamini mizinga yenu ni michache....😂