Premij canoon
JF-Expert Member
- May 27, 2018
- 1,203
- 2,771
Aisee makubwa sana waooo
Nimejua unavyovipenda zunguka kwa nyuma huku[emoji23]Jitahidi awe hivi View attachment 2600539
😀 😀 😀 hawa watu shida sanaHuyo mmoja jinsia yake huwa inabadilika badilika kulingana na mahitaji ya muda huo.
Nikutume dukani mpenzi🤣Huwezi judge kwa picha, Inawezekana ana vibe nyingine za kusisimua
niko tayari 😂 piemu yangu ni yako, jinskie uko nyumbani.....Looh kumbe ishu ni mizinga😂
Invoice za kichwani tumefidia kwenye mambo mengine, so ujipange vizuri kijana
😂😂Moshi mdogo haukufai wew 😂Nyotraaaa mdogo wangu tatizo nyotraaa ya bundii🤣🤣!!
Ati....Ambao tayari tushatakana na kupatana tunakomenti wapi
😂😂😂😂😁😁😁kifupi tunahitaji mafusho na maji ya bahari sio kuoga ni kujiloweka mwaka au mwenzi😅😅
taratibu bro utapewa heart attack 😂Ujambo ww binti mrembo wa pekee bila ww kazi sifanyi
taratibu bro utapewa heart attack [emoji23]
HahhahaMkuu hiyo avatar yako utapata demu kweli?
Sio sahihi kila kinachofanywa na ulimwengu tuige; ni sawa na walimwengu kula mavi, je na wewe utakula mavi?Kweli lakini haya tunafunzwa na ulimwengu..
Napenda mishahara 😘Kuna mmoja alijiona Keki kisa tu nilionyesha kumjali, nami nikaamua kumpotezea mazima,hakujua kua kapishana na Gari la mishahara,
Life is too short usiwe slaves wa mapenzi kupita kiasi.
😎😎
Brother Kuna namna Jana nlikuwa najichukulia sheria mkononi nlienjoy hatariiiii🤣🤣 wakati waaarabu wanakuja nlibana kichwa Cha mb<><> nkawa nafanya kama nasugua ule mshipa/ path wanamotokea waaarabu🤣🤣🤣
Jilipue tu 😅😅😅Kwanini ambaye hasuki? Jibu kabla hatujaja
Usije kututoa kafara bure na mapara yetu
😄