Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Hamna tatizo, njoo nkushike mkonoDukani usiku huu naogopa, Nisindikize basi
Mahali? Wazazi wangu watatuchapa wote wawili
Kamalizie shule kweli? Mvua 30 si mchezo nyieJilipue tu π π π
Af anaonekana bahiliHana hela ya kumpa wifi akasuke mibambucha
kabisa kabisa 18+ nafaa kwa matumizi.... πUmefikisha 18+ lakini?
Nisije pata kesi mie bure, au Analyse utakuja nitetea
Em nione cheti cha kuzaliwakabisa kabisa 18+ nafaa kwa matumizi.... π
Kwa nnMahali? Wazazi wangu watatuchapa wote wawili
π€£π€£π€£Mwehu sanaNadhani muungano wao utaleta matunda; zygote
JiueKila nikifungua uzi nakuta barafu wa moyo wangu katajwa.
Mods fungeni uzi
Utaleta mahali au mahari?
taratibu na wewe π ujue hapa niko kwenye harakati....Em nione cheti cha kuzaliwa
Watakuja PM.Nimtoe wapi huoni wananikwepa?
Kwao kwenyewe bado hawamuamini. Ndio kwanza yupo form 3 π πKamalizie shule kweli? Mvua 30 si mchezo nyie
Tutulize makomwe yetu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ndio