Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Dah sisi wengine hatahatuitwi ndio hamtupendi dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna tatizo, njoo nkushike mkonoDukani usiku huu naogopa, Nisindikize basi
Mahali? Wazazi wangu watatuchapa wote wawili
Kamalizie shule kweli? Mvua 30 si mchezo nyieJilipue tu 😅😅😅
Af anaonekana bahiliHana hela ya kumpa wifi akasuke mibambucha
kabisa kabisa 18+ nafaa kwa matumizi.... 😂Umefikisha 18+ lakini?
Nisije pata kesi mie bure, au Analyse utakuja nitetea
Em nione cheti cha kuzaliwakabisa kabisa 18+ nafaa kwa matumizi.... 😂
Kwa nnMahali? Wazazi wangu watatuchapa wote wawili
🤣🤣🤣Mwehu sanaNadhani muungano wao utaleta matunda; zygote
JiueKila nikifungua uzi nakuta barafu wa moyo wangu katajwa.
Mods fungeni uzi
Utaleta mahali au mahari?
taratibu na wewe 😂 ujue hapa niko kwenye harakati....Em nione cheti cha kuzaliwa
Watakuja PM.Nimtoe wapi huoni wananikwepa?
Kwao kwenyewe bado hawamuamini. Ndio kwanza yupo form 3 😅😅Kamalizie shule kweli? Mvua 30 si mchezo nyie
Tutulize makomwe yetu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ndio