Nenda kwa madenti wenzako
π π πItatutosha hiyo, tutashindia hata makande kila siku sina shida.
Nakuja basi, wacha niwaage nyumbani kabisa
Kama wamekutesa, njoo hukuMmh kwa bara hili? , mmh humu jf kwa sasa nibaki kuwa ndugu mchangiaji.
Mtaje tu ili ujumbe umfikie
So you are threatening me ππKwahiyo nikikutaja what's next?? Halafu mbona hauko romantic unaniita mkuu na mimi si mwanajeshi[emoji23][emoji23]hauko serious nifute usajili?? [emoji23]
Asanteeeeπ€Kuwa na amani. Usalama wako nausimamia mm π
Niko hapa sis asante kwa kunijaliπ
hajui tumeunga foleni huku πSo you are threatening me ππ
nahisi ni Mzee wa kupambania πMtaje tu ili ujumbe umfikie
Unatakiwa ufanye mapinduzi kama GuineaUkitaka kum register mpenzi humu unaambia already taken[emoji23][emoji23][emoji23]sasa sisi tutatakeniwa na nani??
Ana wajukuu huyuDogo kuwa na adabu
Yuko form 3 huyoAna wajukuu huyu
Mwaaa..... πYuko form 3 huyo
Noo ila angalia usije kupishana na wandoto zako[emoji23]we are rare.... Tuko wawili tu tz mmoja yuko huko kolandotoSo you are threatening me [emoji2][emoji2]
Atakuwa mdogo sana, anaweza kulenga kwenye kwapa akihisi ndipo penyewe π πYuko form 3 huyo