Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kwa madenti wenzako
😀 😀 😀Itatutosha hiyo, tutashindia hata makande kila siku sina shida.
Nakuja basi, wacha niwaage nyumbani kabisa
Kama wamekutesa, njoo hukuMmh kwa bara hili? , mmh humu jf kwa sasa nibaki kuwa ndugu mchangiaji.
Mtaje tu ili ujumbe umfikie
So you are threatening me 😃😃Kwahiyo nikikutaja what's next?? Halafu mbona hauko romantic unaniita mkuu na mimi si mwanajeshi[emoji23][emoji23]hauko serious nifute usajili?? [emoji23]
Asanteeee🤗Kuwa na amani. Usalama wako nausimamia mm 😊
Niko hapa sis asante kwa kunijali🙏
hajui tumeunga foleni huku 😂So you are threatening me 😃😃
nahisi ni Mzee wa kupambania 😂Mtaje tu ili ujumbe umfikie
Unatakiwa ufanye mapinduzi kama GuineaUkitaka kum register mpenzi humu unaambia already taken[emoji23][emoji23][emoji23]sasa sisi tutatakeniwa na nani??
Ana wajukuu huyuDogo kuwa na adabu
Yuko form 3 huyoAna wajukuu huyu
Mwaaa..... 😂Yuko form 3 huyo
Noo ila angalia usije kupishana na wandoto zako[emoji23]we are rare.... Tuko wawili tu tz mmoja yuko huko kolandotoSo you are threatening me [emoji2][emoji2]
Atakuwa mdogo sana, anaweza kulenga kwenye kwapa akihisi ndipo penyewe 😀 😀Yuko form 3 huyo