wow! Karibu sana,hakika hutajutia uamuzi wako,malkia pekee kwenye kasiri langu...Itatutosha hiyo, tutashindia hata makande kila siku sina shida.
Nakuja basi, wacha niwaage nyumbani kabisa
Labda anatafakariLovie Lady uko wapi mamilooo
Nawe hautajuta kunichaguaπ€wow! Karibu sana,hakika hutajutia uamuzi wako,malkia pekee kwenye kasiri langu...
ID yake ndio ipi
πau mnadhani mie ni albinoWewe tunakutaka wengi... acha tu... nimimi nipo tyr kumia 1M kwa ajili yako....
Say something....... Hunitaki???[emoji847][emoji847]
Tema maneno ya kumtoa nyoka pangoniSay something....... Hunitaki???
Ohoo!!!!!kumbe Tit for tat is the holy game..Mwenye kisu kikali, ndio mla nyama ππ
Awee usiniambie
πππKumbe watu Wana babes zao na hawasemi watu wasiriππUzi una viewrs 4K
Naona watu wanazungukia kuchunguli kama wametajwa, au babes zao zimetajwa π
Kwahiyo unataka utupangeNilishamuomba kibali