Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #841
Anataka kutuharibia ndoa yetu iliyojaa mahaba 😀 😀🤣🤣🤣Anamwita Nani Tena?hivi ana Nini lakini hatulii?
Usijali kipenzi. Mawazo hayawezi badilika, labda wakaniroge 😅😅Ufanye basi mapema watu wale pilau, kabla hujabadili mawazo
Wasithubutu, maana hata mimi Tanga napajua vema 🤣Usijali kipenzi. Mawazo hayawezi badilika, labda wakaniroge 😅😅
Ni Ngosha wa wa Bariadi,ubahili kanyiwa kabisaaaaNdioooo hivyo ndio inabidi kuenenda maana anajikuta baba huruma.
Asiwe tu bahili, maana nitamfurumusha asubuhi na mapema
Amina baraka zako nimepokea kwa mikono miwili.Asante kwa kuwa muelewa, nami nakutakia mafanikio kwa yule mwingine
Hao akina ngoja wanajuaga kupenda balaaNi Ngosha wa wa Bariadi,ubahili kanyiwa kabisaaaa
Mkuu, sijaona ukimtambulisha shemeji?Hili nalo litapitaView attachment 2600825
Basi ondoa shaka. Lengo letu litatimia tu 😍😍Wasithubutu, maana hata mimi Tanga napajua vema 🤣
Nasikia Unataka kumsomesha shemeji yako bila kunipa taarifa,je Unataka kunisuprise siku ya graduation?Anataka kutuharibia ndoa yetu iliyojaa mahaba 😀 😀
Mkuu, sijaona ukimtambulisha shemeji?Hili nalo litapitaView attachment 2600825
mkuu mimi nitakua best man 😂Usijali kipenzi. Mawazo hayawezi badilika, labda wakaniroge 😅😅
Nasubiria kwa hamu🥰Basi ondoa shaka. Lengo letu litatimia tu 😍😍
Yani kabla sijapost JF, ntakuwa nakupa ufane uhariri 😍😘Nasubiria kwa hamu🥰
Niwe naenjoy exclusive mastory
Yuko vizuri Ngosha kwenye mahaba na matunzo uchoke wewe,sema tu akiona mrembo mwingine Tena naye anampendaaaa yaani itabidi tuunganishe ulinzi tumbane kila konaHao akina ngoja wanajuaga kupenda balaa
Hapo tutaenda nae vema
sina buguzi nawatakia kila la heri, mzae mapacha 1000 😂
aisee, 😅😅🙌Yupo huko mbali anapata mbege