Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Atavaa ata uniform 😂Vere soon, wee andaa suti tu.
Kama hujavaa suti ukumbini huingii
Mambo yametaradadi, au sio baby Analyse 🥰
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atavaa ata uniform 😂Vere soon, wee andaa suti tu.
Kama hujavaa suti ukumbini huingii
Mambo yametaradadi, au sio baby Analyse 🥰
Wapambe nuksi hao🤣Tutaenda kisiri Siri bila kuaga. Wapambe wasijue 😍😍😍
Asante kwa kuniangalia mkuu am feeling safe 😍Mkuu tena mara hii 😅
Nimekungoja weee mpaka nimechoka
Muonee huruma yule...Tuambie na wewe unamtaka nani mkui
chuki inaharibu nafsi yako.....Mtoto anabebwa hivi hivi unashangilia 😀 😀 😀
Sutiii nakazia SUTI ndio dress code kwa wanaume hiyo sikuAtavaa ata uniform 😂
HatimaeUwe na usiku mwema kipenzi changu Palina ,ulale salama na Mungu akuchunge na hila zote za yule muovu.
Nakupenda
Nataka uwe salama zaidi nami, karibuAsante kwa kuniangalia mkuu am feeling safe 😍
Hatubebi chochote, kama tunaenda kanisani tu. Kumbe ndio tunaamsha.Wapambe nuksi hao🤣
Eeh hamna kuwaaga, tutaenda zetu kisirisiri tutokomee huko😍
Af kweli, hachelewi kuvamia hiyo😂Huyo anaulizia sana hadi naanza kupata wasi wasi. Kwanza inabidi aseme ana ahidi mchango kiasi gani 😅😅😅
Usijali baby Lenie , kila kitu kipo kwenye mstari 😍😍
Si ndio, lazima tuwazuge maana watu wana kijicho sana🤣🤣Hatubebi chochote, kama tunaenda kanisani tu. Kumbe ndio tunaamsha.
Wakija kushtuka, tulishahama kitambo 😅😅
Sasa mwanafunz akivaa uniform kuna shida gan? Akitoka ukumbini aende prepoSutiii nakazia SUTI ndio dress code kwa wanaume hiyo siku
usijali....ntawaandalia bonge la zawadi....Vere soon, wee andaa suti tu.
Kama hujavaa suti ukumbini huingii
Mambo yametaradadi, au sio baby Analyse 🥰
Af tupate kesi ya kutorosha denti, aah hapana aisee.Sasa mwanafunz akivaa uniform kuna shida gan? Akitoka ukumbini aende prepo
Mchango wangu; nitakusubiri pale utakapoachika nikufute machozi, hapo vipi?
mmenipata boya wenu sio 😂Sasa mwanafunz akivaa uniform kuna shida gan? Akitoka ukumbini aende prepo
Wameshashindwa tayari 😅😅Si ndio, lazima tuwazuge maana watu wana kijicho sana🤣🤣
Na watashindwaaa
Hapo umenena sasa, good boyusijali....ntawaandalia bonge la zawadi....