Kwakweli hali si shwari😀😀akipata wanne watano atupasie na sisi@Bantu ladyWalai tumkomalie Bantu Lady atuangalizie angalizie huko lol 🤣🤭!
Bantu Lady Aaliyyah Mwamba Huyu hapaa Mwamba Huyu hapaa💃💃!Antonnia
kishep flani hiv.. guu la bia. swaga za kileo ,mchizi sina hela alaf mbona saqfi tuuuuu 🤣
😄😄😄😄😄😄 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nyinyi watoto nawagawa...Mumfamyie mpango huo jamni ukikosa Kwa shemeji Yako wa damu hata Kwa watoto wa wajomba zake siombaya 😂😂
😀 😀 😀 Steki ina utamu wake, mifupa inaweza kuvunja menoMzee wa tipwa tipwa tetema😀
Shemela akaribie sana, mashemeji tupo tumejaa tele, mwambie 🤝
😀 😀 😀 pale itakapokuja uwiano wa 1:25Thread ya watu inapendeza ipo na amani itakuja kuchafuka...
Hao sasa wanapatikana wapi hao??? Hebu fanya connection ya faster Tonnia 🤗🤗🤗🤗🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Nani hataki surprise za nimekutumia ya lunch babe wangu una changamoto gani kwasasa mpenzi wangu kwani weeeehh!! 😂😂🤣🤣!! In Aaliyyah voice 🤭!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Nani hataki surprise za nimekutumia ya lunch babe wangu una changamoto gani kwasasa kwani weeeehh!! 😂😂🤣🤣!!😄😄😄😄😄😄 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 nyinyi watoto nawagawa...
🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭!!!!Hao sasa wanapatikana wapi hao??? Hebu fanya connection ya faster Tonnia 🤗🤗🤗🤗
Thank you Mr. Muu 🥰Depal popote alipo namsalimia kipekee kulingana na hoja ya mtoa mada
Sasa kwani heading ya uzi inasemaje? halafu mbona mchakato umeshaanza???? fanya kuni follow basi 🤣 🤣 🤣😂😂😂Kha Yamekuwa hayo
Oi Depal fanya kunikiria basi sina Dimpoziii tu na hereni sikioni lakini vingine vyote vipo na bahati nzuri nina upara kama Vin diesel 😂 😂 😂Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
Siku zinakuja utakaposema...nataka mwanaume yeyote ilimradi anapumua...si mnawakataa waoaji kisa mnatunzwa na vikongwe?🤣🤣🤣🤣Si ndio wazuri hamna kuchoshana na kutoana jasho na joto hili
Oi hebu muache Lenie we hujui mdogo wetu Satoh Hirosh kaweka nanga ??? 😂 😂 😂Siku zinakuja utakaposema...nataka mwanaume yeyote ikimradi anapumua...si mnawakataa waoaji kisa mnatunzwa na vikongwe?🤣🤣🤣🤣
Fiksi tumeumbiwa Wahuni hapa duniani 🤣🤣🤣Mkuu umefikis huko?🤣🤣🤣
Satoh Hirosh tulimwambia hawezi hilo fuso atafute ist akatuona mafala, kiko wapi?Oi hebu muache Lenie we hujui mdogo wetu Satoh Hirosh ??? 😂 😂 😂