Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Johnnie Walker hatochelewa kupita nae[emoji23]Nimeshamwandikia talaka amchukue tu[emoji3]
Ndio ninachompendea Mimi, Sio Madada wengine wanajifanya Classic kumbe wana maumivu makali sana rohoniDada wa kipekee, nuwaz na mkweli sana sana
Mimi nakutaka wewe Amehlo .Mnaitwa huku
Hapo nime qualify ndefu tuu ila dimpos sina..nywele nyingi sinaaa nina uwalaza 🤣Kama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309
daah kumbe humu pisi zinawatu waoGily hatopenda[emoji23]
Nimemuona[emoji23] yeye si mchaga hawezi tulia[emoji23]usiniambie hujaona Gily alivyoniacha kwa walaka mrefu kabisa hapa[emoji4]
kumbe umewahiwa madam😊🙌
Ukafungua ID 2021People are very serious[emoji23][emoji23][emoji23]niko hapa msoma comment[emoji1787]
😂 unamiliki ka airportHapo nime qualify ndefu tuu ila dimpos sina..nywele nyingi sinaaa nina uwalaza 🤣
Ka airport flan hiv amazing...😂 unamiliki ka airport
Ngoja nijaribu ku gugo huwenda wakaniambia jinsi ya kutengeneza Dimpozii 😔😔😔Tulia Mazziyah
Subiri upate dimpoz
Naweza kumkubali kukuridhisha hlf kaka wa watu akaishia kuwa kataa ndoa kila akipita unaona tu anaandika kataa ndoa ni mauti,kataa ndoa ni moto,kataa ndoa ni kirusi uishie kupata dhambi.Mi sifai sisy😂😂Yaani wewe unachagua Sana wachumba Shauri yako!nitakusemelea kwa bi mkubwa