Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

financial services huyu mdada kama kuna mtu kamtaja basi naomba kwa amani tuu mtu huyo afuteee hili jina, maana huyu mdada ndie chaguo langu kwa humu JF....hili onyo La mwisho mumkome huyo dada wajamani nioneeni huruma namim nipate Baby kutoka JF nipate cha kusimulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😀😀 mkuu, hutaki ushindani kwenye jimbo, unataka kuwa mgombea pekee ili upite bila kupingwa, thank you Ugm bin champion 🥰
 
Watruuu weeuweeeeeee!! 💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸!

Piga kelelee kwa shem akeee weeh weeh weeeuuuwweeeeehhh!😘😘😘
Muuliz hana mdogo wake au rafiki kwanii 🤣🤣🤣 in Aaliyyah voice 😂☺️
😂😂 Kwani Antonnia na mwenzio Aaliyyah mna nini?

Ndio natuma maombi hapa kwa Bantu Lady afanye wepesi.

Rafiki yupo hakuna tatizo yani.
 
Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.​

Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.

Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.

Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.​
Mtaje tumjue!
 
Usiache mbachao Kwa msala upitao.


Kuna watu walifia Ndani baada ya Nyumba zao kuungua moto Kwa sababu tu ya milango na mageti ya Nyumba zao.


Namtaka Ecstasy Queen
We faller una sit yako kwa LUCIFER na cheo kabisa🤣🤣🤣
Tena utakuwa u mzee kiongozi wa Lucifer katika kitengo maalum cha kuko..jzana😂😂😂
 
Back
Top Bottom