Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Upo ndugu yangu, za siku tele?Uzima upo ndg yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo ndugu yangu, za siku tele?Uzima upo ndg yangu?
Ndg yangu, watu aina ya Lenie ukimaliza kupanda mlima ukiwa umembeba sawa na mtu kalima eka moja peke yake hivyo kijana Satoh Hirosh anapumzika kutafuta nguvu mpya😂😂😂😂😂bado ana pace ya kuongoza jimbo au pumzi imekata?? Maana Mimi na Mzee mwenzangu Glenn tumelitafakari sana hili jambo leo maana amekuwa adimu sana au ndio kawa Kaka wa Nyumbani???
Satoh Hirosh kasanda??? 😂 😂 😂Niko na mzee baba @Analyse🥰 anakonga moyo wangu.
Hivi niko mbioni kumletea mapacha, umfikishie taarifa Glenn
Nipo rafiki, ulimisika sana ujue, furaha kukuona tenaUpo ndugu yangu, za siku tele?
Upoje lakini 🤣🤣🤣Ndg yangu, watu aina ya Lenie ukimaliza kupanda mlima ukiwa umembeba sawa na mtu kalima eka moja peke yake hivyo kijana Satoh Hirosh anapumzika kutafuta nguvu mpya😂😂😂😂😂
Satoh Hirosh ni mshkaji anguSatoh Hirosh kasanda??? 😂 😂 😂
sasa mpaka kuja kupata nguvu si atamkuta Miss Lenie mbali sana??? Huyo Dogo tulimwambia asikomae na Pisi kali kama hizi uwezo mdogo akawa anakomaa sasa ngoja tuoneNdg yangu, watu aina ya Lenie ukimaliza kupanda mlima ukiwa umembeba sawa na mtu kalima eka moja peke yake hivyo kijana Satoh Hirosh anapumzika kutafuta nguvu mpya😂😂😂😂😂
Kumbe sio mmiliki wa jimbo?Satoh Hirosh ni mshkaji angu
Ninaanzaje kubisha mwana Jangwani mwenzangu 😄😄😄😄😄 vile niipendavyo Yanga.... Siye tunajenga nyumba moja Baba SwaleheBantu Lady zama inbox mwana yanga mwenzangu
Sasa si ndio unichane mistariMuda tu..nikionaga ID yako napata goosebumps
enjoy Lee,leo nimeamua kijimaliza kama kwa mwamposamake kwanza nicheke 😅😅😅😅
Muacheni best yangu
🤣🤣🤣 nani kakutaja nimjue😀😀😇 Mtoto wangu ni wewe
sio poa mazee pisi za Jf zinakazaSwadaktaaa namna hiyooo ndio inatakiwa.. umepnde na hadi alie mzaa