Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzamie pm muungane na uchukue chako
❤❤❤😘Ndriiiooo ndrrriiioooo! That's ma sweet madamee!! Santo sanaa!!
wasaka tonge
Pm anaweza kunikana huyo, kama kaahidi hapa kwenye uzi anipee hapa hapa asinitapeliMzamie pm muungane na uchukue chako
😂😂😂Imebidi nicheck kwanza
Ukitaka kula.......Pm anaweza kunikana huyo, kama kaahidi hapa kwenye uzi anipee hapa hapa asinitapeli
Cheka utanue mapafu dear!!🤣🤣😂😂😂Imebidi nicheck kwanza
Umedoda how?😂😂😂
Atakuwa amekusikia, subiri majibuKupenda ni hisia we nae, siyo moyo... Any way popote alipo @mamdenyi
Pika. 😂😂Ukitaka kula.......
Kwa kweli afadhali kwa mara ya kwanza nakumbukwa..Nashangaa unapenda kujizeeesha Ng'ombe hazaeeki maini....ndio tayari ushatajwa
Natajwaje na mikono haioneshi michirizi ya mishipa 😅Half american kwani ushatajwa tayari?
😂😂😂Kumbe mambo ya kutakana Sasa mbona hata mm hakuna alienitag jamni tumedoda wote dada😂😂😂Cheka utanue mapafu dear!!🤣🤣
Wee hujaona mada inasemaje Kwani 😁??
😂 yeye kauliza kama bado hajataja directMdai dola mia mbili,ametangaza Mwanzoni atayrmemtaja atakula 200USD
Kwani wewe sio tall, dark, handsome?Natajwaje na mikono hainyeshi michirizi ya mishipa 😅
Ebu waonyeshe chura 😀 😀 😀Ina maana mimi hamna anayenitaka? Sijui nafeli wapi ila najua mdomo na kimbelembele ndio vinaniponza[emoji17]
Tukaogee maji ya bahariii dearr sio kwa gundu hiliii🤣🤣!!😂😂😂Kumbe mambo ya kutakana Sasa mbona hata mm hakuna alienitag jamni tumedoda wote dada😂😂😂