mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
hutulii mdo shida 😂🤣🤣🤣 unajua inauma kuitwa fataki Nikiwa school waliniita san hili jina. Bad memories
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hutulii mdo shida 😂🤣🤣🤣 unajua inauma kuitwa fataki Nikiwa school waliniita san hili jina. Bad memories
Napumzika kwanza nipo likizo😀Kwa hiyo niwahi namba?
Bolt wasumbufu sana. Bora nije na mtu nnaemuamini!😄Sasa huyo unakuja nae wa nini tena bby ebu njoo mwenyewe ngoja nikutumie hela ya bolt.
Matumiza ya moyo mabaya hayo, aliyekuacha anafurahi nawe jiachieNapumzika kwanza nipo likizo😀
Sawa tuwasiliane pembeni haina haja ya kuwapa faida watu hapa...unibarikie tuu
Mnaenda pm jmn??Sawa tuwasiliane pembeni haina haja ya kuwapa faida watu hapa...
Yah unajua wengine hatupendi macho ya watu...🙂Mnaenda pm jmn??
Juzi ulizuia matumizi ya pm ujue😂😂Yah unajua wengine hatupendi macho ya watu...🙂
Njooni telegram na bukubuku zenuShush nondo mwanangu za kutosha kwa siku episode mbili 😀
hahaha sasa sisi wengine hatupo telegram nakutumia tu buku hakuna shida nakubal sana kazi zako🙃Njooni telegram na bukubuku zenu
ndioo mambo kimya kimyaMnaenda pm jmn??
Angalia utachomwa na chai na Aaliyyah[/
[/QUOTE]
Huo wa wapi?😀😀😀akiniona apite mbali nitampiga mtama mmoja unaitwa usinune Yani nikikupiga mtama inabid unichekee tu 😂😂😂
[QUOTE="Aaliyyah, post: 46209373, member: 663227"[/QUOTE]😂😂Sisi hatuna shida na tumejikoki yaani wew lete hayo mabaki mabaki hata watoto wa shangazi Yako upande wa bibi hatuna baya nao au nasema uongo ndugu
Antonnia