Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Nikupe siri.
Je bado unatumia nguvu kuwavuta hawa viumbe?
Jichimbie mahali ukiinuka wakutafute wao🀣🀣🀣
Nilitaka kwends pm kwa Darlin ila nimeghaili.

Ngoja nitafute hela,naimani ipo siku atanitafuta mwenyewe akisikia nimeshakuwa mcharo. Wacha nimuige James wa filamu ya bado natafuta.
 
To yeye kwako nimezima fegi mama
Nionee huruma stak uwe nyama choma

Staki twenzetu sodoma huko dhambi za gomora
Inatosha kusema wewe ni mrembo sio mgumu kukuchora......sisi watu wazima hatuwezi kutengana kisela
 
To yeye kwako nimezima fegi mama
Nionee huruma stak uwe nyama choma

Staki twenzetu sodoma huko dhambi za gomora
Inatosha kusema wewe ni mrembo sio mgumu kukuchora......sisi watu wazima hatuwezi kutengana kisela
Nina hasira Leo,acha tu babaπŸ˜”
 
Back
Top Bottom