Maneno gani machafu tena hayo?Nyie wa humunmna maneno machafu mtasema mmekunywa maji ya chooni ππ
Nikiwaza kuchepuka tu nguvu zinaniisha Yaniππ
Friji haligandishi uwiiii hadi ushikiwe fimbo wewe khaaa!!!Nitamwaribu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Af nimekumbuka, Yule mwehu alokufata Pm anakwambia me nitakuharibu mpe salamu zangu,, nitamuharibu yeye kwanza kabla sijawaharibu niwapendao
Kwani nimesema natak kuchepukaπManeno gani machafu tena hayo?
Wee chepuka tuu kama wataka kuchepuka
Mkanye amezidi huyuYaaniii
Nitakua simwambii mengine
Hapati ubuyu mwingine, we muache tuMkanye amezidi huyu
Chagua ya kumpa aiseeHapati ubuyu mwingine, we muache tu
Katakua kamelalaChagua ya kumpa aisee
Hafafu usimwambie kuwa nimemshitaki kwako....
Naona anakoroma muda huuπ
Sasa kwanza unachepukaje wakati ata kidume cha kukutumia text ya good morning bby hunaπ€£π€£π€£π€£Kwani nimesema natak kuchepukaπ
Siku nikipata bby nitakuja na tangazo Ili upate habari kuwa Nina bbyππSasa kwanza unachepukaje wakati ata kidume cha kukutumia text ya good morning bby hunaπ€£π€£π€£π€£
Mie nakuombea tuu upate huyo bby maana sio vizuri kwa mwanamke mzuri kama wewe usiku huu wote unachapa marimba ya mzungu jf wakati unatakiwa kuwa unapata chakula cha usiku toka kwa bbySiku nikipata bby nitakuja na tangazo Ili upate habari kuwa Nina bbyππ
Amiin πMie nakuombea tuu upate huyo bby maana sio vizuri kwa mwanamke mzuri kama wewe usiku huu wote unachapa marimba ya mzungu jf wakati unatakiwa kuwa unapata chakula cha usiku toka kwa bby
Kwani si nimeamkaChagua ya kumpa aisee
Hafafu usimwambie kuwa nimemshitaki kwako....
Naona anakoroma muda huuπ
Utanambia tu π€£π€£Yaaniii
Nitakua simwambii mengine
Nitajikaza saivi π€£π€£Utanambia tu π€£π€£
Na venye hutakagi hata yapoe
Habari za siku dogoDada angu π€£ππ€£
unapenda sana kunisuta
Si live, si kwa maandishi wala sauti π«£