Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Unamuwaza asiye kuwazia: Kwanini uteseke na mtu mmoja ambaye hana mpango nawe?

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Inakuaje mtu unakosa raha ya maisha kwa ajili ya mtu mmoja unaempenda halafu yeye hana mpango na wewe. Duniani tupo watu zaidi ya 7 billion kwanini ujisumbue kung'ang'ania mtu mmoja ambae anaku-Ignore.

Ukiwa peke yako unakuwa unamuwaza ila mwenzio hana habari nawe, unacall na kutext ila mwenzio hana habari (He/she don't give a damn shit)

Unampenda sana unamuonyesha upendo wa kweli ila ha-Appreciate lolote ulifanyalo. Unabaki kulia tu usiku wa manane unawaza hadi kujiua au kujiona mtu usie na maana maishani wakati YOU WORTHY MORE THAN BILLIONS BEFORE GOD.

Kwanini uvumilie yote hayo mateso kama vile huyo abayekutesa ndio binaadamu pekee alibaki ulimwenguni..Wewe unakonda mwenzio anatoka shavu dodo.

Penda unapopendwa, penda pale unapoona unapata mrejesho wenye thamani ya upendo unaotoa. Wapo wengi wanatamani wakupe upendo wa dhati ila uneqafumbia macho na kung'angani mtu mmoja asiyejua thamani yako na thamani ya upendo wako.

Usilazimishe kupendwa,
Usilazimishe mawasiliano
Usilazimishe urafiki
Usilazimishe kupenda
Fura inachukuliwa haipewi..usisubiri mtu akupe furaha inuka kaichukue.
Be Valuable not available to everyone.

Kupendana ni upumbavu
Vers​
 
Exactly. Mimi hua natembea ns neno moja..
With you or without you, I shine.
Nobody holds my destiny

Ukiwa hivyo ni vizuri ila pia hutajua raha na Mawadah ya kupenda

Ni sawa na Mpira, Kadri unavyoumia timu yako ikifungwa basi ikishinda unakuwa na furaha Mara dufu lakin ukiwa unaona kawaida hata ikifungwa basi hata ikishinda kiwango cha furaha huwa pia cha chini
 
Vitu vingine viongelewe na aged kama sie mkuu.
DaVinci haya mambo usijifanye mbabe...acha kabisa kuongea usicho na uzoefu nacho.
Umri wako around 25 ni mdogo sana kuongelea haya kma mshindi.

Sirudi tena hapa
Exactly. Mimi hua natembea ns neno moja..
With you or without you, I shine.
Nobody holds my destiny
We jamaa hujawahi kupenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitu vingine viongelewe na aged kama sie mkuu.
DaVinci haya mambo usijifanye mbabe...acha kabisa kuongea udicho na uzoefu nacho.
Umri wako around 25 ni mdogo sana kuongelea haya ksma mshindi.

Sirudi tena hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]kwamba unashauri vijana tuwe ving'ang'anizi au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona tunajitahidi kubishana naukweli pamoja na uhalisia wa haya mambo.

Nikama stage zaukuaji wa mtoto, kulala, kukaa, kutambaa, kusimama, kupiga hatua na kukimbia..sasa huwa kunastage mtoto anapitia maumivu na majelaha sana mpka atakapozoea pulukushani..chamuhimu kwasasa nikujua unawezaje kuwa participant mzuri na una enjoy haya mambo.
 
Back
Top Bottom