mmmhhh no no no si eti hajawai penda, ni vile hajawai kuwa mjinga huko akifikiria ujinga na kupenda ni kitu moja, watu wengi ni ujinga wako nae sio pendoWe jamaa hujawahi kupenda
Very good bro, in life those who dont understand you DONT MATTER TO YOU, and those who DO MATTER UNDERSTANDS YOUUmeandika vizuri sana ila tambua tu kwamba yooote uliyoyaandika yanatokana na wewe mwenyewe kukosa kujitambua.
Kukosa kwako kujitambua kumekufanya
1. Ushindwe kujijua
2. Ushindwe kuwajua wanaokuzunguka
3. Ushindwe kuchagua mtu/watu sahihi kufungamana nao
4. Ushindwe kujua unachostahili/thamani yako huijui.
5. Umeshindwa kujua daraja lako ni lipi
Haya matatizo utayamaliza kwa kujitambua tu. Hili somo liliifundishwa shule ya msingi kwa watoto wa darasa la sita na saba liliitwa "Stadi za Maisha" sijui kwa nini serikali iliamua kulifuta.
Sent using mazonge yamezidi
Fuata ule ushauri wa jana..Umetushauri ama umetukemea[emoji3][emoji3][emoji3], Ia mie nimeelewa sana na natamani iwe hivyo, kwa sasa mie haiwezekani kamtu kamoja kanikoseshe amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kusubiri.Sijamuona kabisa
Mi huwa nawashangaa sanaWe jamaa hujawahi kupenda
Vitu vingine viongelewe na aged kama sie mkuu.
DaVinci haya mambo usijifanye mbabe...acha kabisa kuongea udicho na uzoefu nacho.
Umri wako around 25 ni mdogo sana kuongelea haya ksma mshindi.
Sirudi tena hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
He![emoji15]
@Da’Vinci mbona contaradicting your post, unaumiaje sasa!