Unamzungumzia Diamond, humjui AY?


Hahahahaaaa buyer face umetishaa AY anatumia nguvu Contena show kisoda!! Domond kwa sasa anafunika sana,kinachomuangusha Domo ni elimu tu ila akipata promota mwenye elimu ya kutosha kuweza kumvukisha boda basi Domond atakuwa mbali sana!!
 
Hahahahaaaa buyer face umetishaa AY anatumia nguvu Contena show kisoda!! Domond kwa sasa anafunika sana,kinachomuangusha Domo ni elimu tu ila akipata promota mwenye elimu ya kutosha kuweza kumvukisha boda basi Domond atakuwa mbali sana!!
Domo hatari mpwa!anakosa elimu na ulimbukeni flani sasa hivi anataka kuleta unaweza ukamcost huu wa kuwarusha vicheche wake kina wema katika nyimbo utasema yeye ndo kawatoka bikira!!!!wakali wakimega wanapiga kimya yeye anapiga sana yowe yaani kama haamini kama kawagonga ngozi!
 

Haaaaaa Domo limbukeni sana apige kimya tu vicheche kina wema na jokate unakamua unatulia tu......Jamaa haamini kama amemkamua wema!!! Naye Dimpoz anagonga Lisa Jenseni,Bora Nyandu Tozi analay low uku akimeki mkwanja "Hatua Zangu-Nyandu Tozi" Man Banyenda..
 

Mtoto wa TANDALE.
 
AY anauelewa..
DIAMOND anaopolewa..

nadhani hapo kuna tofauti tayari, zaidi ya kifedha!!
 
Diamond ana mafanikio makubwa katika fani, big up !
A.Y ni mjasiriamali, anautumia muziki kama biashara, mzee wa commercial.
 
Ay Ni Next Level Kama Huamini Angalia Video Aliofanya Ya Money
 
Hivi AY Anamafanikio gani kuliko Diamond? . Magazet ya udaku yamesema mafanikio ya diamond, hebu nawe utuambie mafanikio ya Ay
 
Ukiona au kusikia fulani anamiliki au ana mafanikio kupitia vijarida vya Udaku usikubali moja kwa moja fanya utafiti kwanza wengi nimeshawasikia wakisifiwa kumbe uzushi mtupu sio wivu ila tunahitaji data zenye ukweli. Sio ukisikia Kiba ana show room, Mwana FA Anamiliki Vogue au Prof J ana miliki mijengo kadha pia AY Ana maduka ya spea k'koo sehemu gani k'koo? Bora mkamuongelea JIDE Binafsi kila kitu anachomiliki kipo wazi Nyumbani Lounge, Mjengo na Magari ya kifahari kama Hummer,Morano nk.
 
Diamond bado sana kwa AY. Kimziki kiuchumi kitabia kiskendo nk

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mafanikio ya msanii ni yapi?
>Utajiri
>Umaarufu
>SKENDO
Kama ni UTAJIRI wanamiliki nini kama vyanzo vya mapato!!
Kama ni UMAARUFU,anakubalika nje >ndani!
Kama ni SKENDO hapa inategemea skendo zimeegemea wapi!
 

as much as hawampendi domo.........inawabidi WAMKUBALI TU!!n i kipindi chake hiki na anafanya vizuri mno kwa shows na malipo per show.tangu enzi za Mr.Nice,sijawai sikia msanii akilipwa hela ndefu kama dai-domo aisee!ni kipindi tu wakuu..na kwamba hampendi kusikia akitajwa kama mwenye mafanikio haimaanishi kwamba hana!
 
Mpaka leo bado sijajua mafanikio ya AY pamoja na yeye kujifanya ana connection nyingi za nje lakini tukubari hajawahi kuwa hot kama alivyokua Prof Jay, Juma Nature, Mr. Nice, Lady Jaydee, Banana Zoro, Dudu Baya au hata GK. Manikio ya msanii wa Bongo ni Show maana zinalipa zaidi kuliko album hivyo kama AY anamafanikio basi hayatokani na Muziki bali ni Channel zingine. Kwasasa tukatae au tukubali Daimond yupo juu na anameki mkwanja wa nguvu kupitia muziki hivyo yupo juu sana.
 
Watanzania wenzangu mnatoa hadi mapovu kushabikia yasiyo Wahusu. Hebu tuchape Kazi, haya majungu na fitna na tetesi zisizo na maana hazituletei maendeleo. Tufanyeni Kazi, tutumie muda wetu vizuri.ni ushauri tu, Kama umekwazika POLE
 
Diamond ana mafanikio gani? Nchii hii bana ina watu wana akili nyepesi kweli
TuacheHUSUDA na VIJIBA, Diamond asingekuwa na mafanikio wala tusingemuongelea hapa, Cha muhimu kama tunaona wapo waliomzidi yeye basi tumshauri afanye nini nae afike huko. tuwe "GREAT THINKERS" na sio "GREAT HATERS". Dogo anajitahidi ila tu aache utoto na aanze kujitambua mambo ya UKICHECHE na KUVUA NGUO hadharani ni kutokujitambua. Yupo mbali na aongeze bidii, kama kuna ya kujifunza kutoka kwa AY basi aombe ushauri.
 
Uzuri wa ay hapendi kujionyesha kama diamond ambae anashinda sinza
 
Diamond Anambinu Za Kujitafutia Umaarufu Pale Unapoanza Kupunga Kama Vile Kuvua Nguo Na Kuingia Na Njiwa Jukwaani.januari Anapiga Show Kwa Helcopta Decemba Kwa Basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…