Unanishaurije kusafiri peke yangu safari ya km 1000

Unanishaurije kusafiri peke yangu safari ya km 1000

pipikijiti

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2017
Posts
309
Reaction score
406
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300

Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu (grande mark ii) hiyo safari nitakuwa peke yangu,,,sihofii matatizo madogo madogo kama pancha coz tii hata mimi mwenyew naweza piga jeki na kubadili tairi peke angu ila kunajamaa alinishauri sio vzuri kutembea parefu hivyo peke yangu coz ikitokea kama ajari kidogo umezidiwa hakutakuwa na mtu hata wakupiga simu ,,,,

Sasa najua humu kuna watu wazoefu wakusafiri private basi ninaomba nijue uzoefu wenu katika kusafiri peke yako.asante
 
Una uzoefu wa miaka mingapi katika uendeshaji wa gari? Wewe mwenyewe unauonaje uwezo wako wa kuendesha gari?
Kama sio mzoefu kabisa, sikushauri kuendesha peke ako. Ila kama una uzoefu, basi endesha ila usikimbie sana. Ikiwezekana ulale njiani. Yani usiunganishe safari maana utachoka sana. Otherwise nakutakia safari njema.
 
Una uzoefu wa miaka mingapi katika uendeshaji wa gari? Wewe mwenyewe unauonaje uwezo wako wa kuendesha gari?
Kama sio mzoefu kabisa, sikushauri kuendesha peke ako. Ila kama una uzoefu, basi endesha ila usikimbie sana. Ikiwezekana ulale njiani. Yani usiunganishe safari maana utachoka sana. Otherwise nakutakia safari njema.
Asante mkuu,,,uzoefu wangu ni miaka miwili toka nichukue gari na nikila siku nalitumia ingawa ni safari fupi za mjini tu kutembea root ndefu ni mara chache ila najiamini vyakutosha kuhusu kuendesha mkuu
 
Mbona umbali ni wa kawaida sana mkuu. Km 1000 siyo umbali wa kutisha. Several times I drive Dar to Kyela nikiwa mapumziko/ likizo
 
Nafikiria kupita ya mtara nasikia haina msongano sana kama ya iringa mkuu
Poa basi hakikisha unapumzika Lindi alafu next day uendelee na safari. Najua umbali huo ni mrefu sana. Nimeshawahi kuendesha safri ndefu kama za Mza to Dar inafika kipindi unachoka kiasi kwamba hata jicho halitaki kuangalia mbele tena. So ni vyema ukapumzika njiani. Taratibu taratibu utakapozoea basi utakuwa unaweza kuunganisha safari. Pia hakikisha spidi yako haivuki mia. Ukikimbia wastani wa spidi mia, ndani ya masaa saba utakuwa umesafiri kilomita mia tano. So haina haja sijui ya kukanyaga kibati mpaka ifike 180! Huko ni kuhatarisha usalama wako na wa watu wengine. Slow slow but surely utafika salama.
 
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300

Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu (grande mark ii) hiyo safari nitakuwa peke yangu,,,sihofii matatizo madogo madogo kama pancha coz tii hata mimi mwenyew naweza piga jeki na kubadili tairi peke angu ila kunajamaa alinishauri sio vzuri kutembea parefu hivyo peke yangu coz ikitokea kama ajari kidogo umezidiwa hakutakuwa na mtu hata wakupiga simu ,,,,

Sasa najua humu kuna watu wazoefu wakusafiri private basi ninaomba nijue uzoefu wenu katika kusafiri peke yako.asante

NI NGUMU KWENDA UMBALI HUO HATA HUNA MTU WA KUKUSEMESHA, HUKU UMEWASHA AC, UNAWEZA KUSINZIA, MIMI NINGEENDA NA MTU
 
Poa basi hakikisha unapumzika Lindi alafu next day uendelee na safari. Najua umbali huo ni mrefu sana. Nimeshawahi kuendesha safri ndefu kama za Mza to Dar inafika kipindi unachoka kiasi kwamba hata jicho halitaki kuangalia mbele tena. So ni vyema ukapumzika njiani. Taratibu taratibu utakapozoea basi utakuwa unaweza kuunganisha safari. Pia hakikisha spidi yako haivuki mia. Ukikimbia wastani wa spidi mia, ndani ya masaa saba utakuwa umesafiri kilomita mia tano. So haina haja sijui ya kukanyaga kibati mpaka ifike 180! Huko ni kuhatarisha usalama wako na wa watu wengine. Slow slow but surely utafika salama.
Sawa mkuu asante kwa ushauri hakika nitaufanyia kazi nilale njiani coz sijawahi tumbea umbali huo,,na spidi ntazngatia pia mkuu
 
Back
Top Bottom