Unanishaurije kusafiri peke yangu safari ya km 1000

Unanishaurije kusafiri peke yangu safari ya km 1000

Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300

Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu (grande mark ii) hiyo safari nitakuwa peke yangu,,,sihofii matatizo madogo madogo kama pancha coz tii hata mimi mwenyew naweza piga jeki na kubadili tairi peke angu ila kunajamaa alinishauri sio vzuri kutembea parefu hivyo peke yangu coz ikitokea kama ajari kidogo umezidiwa hakutakuwa na mtu hata wakupiga simu ,,,,

Sasa najua humu kuna watu wazoefu wakusafiri private basi ninaomba nijue uzoefu wenu katika kusafiri peke yako.asante
kaka hongera sana nakutakia safari njema mkuu.cha muhimu beba maji mengi na ya kutosha then pia tembea kulingana na vibao vinavyoelekeza then kama utaweza kuangalia gari hasa joint zote ziko poa sawa.Then nunua pump ya kujaza kwa kutumia umeme wa gari ambayo ni nzuri then sali kwa kulingana na imani yako mkabidhi Mungu Maisha yako maana unaweza ukaendesha vizuri wewe ila mwenzio ikawa rafu . Nakutakia Safari njema Mungu awe na wewe
 
Duuh mkuu sawa ila sijapata mtu sasa

Nenda stand ya Mabus yanakoenda huko, tafuta mtu presentable mwenye muonekano mzuri then mpe lift, huna haja ya kum charge, na vyema kama wasafari kesho unaenda leo, ila awe mtu wa kueleweka, wakati wa kurudi hivyo hivyo...... 1000KM bila mtu wa kusemesha sio mchezo.
 
HATA MIMI NAKUSHAURI USISAFIRI USIKU. MAANA HATA UKIANGALIA MBELE WAKATI WA USIKU HUONI SANA KAMA MCHANA. KAMA WENGINE WALIVYOCOMMENT MCHANA UNAPATA MSAADA KULIKO USIKU.PIA KUMBUKA WAHENGA WALISEMA "WAWILI NI WAWILI TU" KAMA UTAPATA WA KWENDA NAYE NI BORA ZAIDI.
 
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300

Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu (grande mark ii) hiyo safari nitakuwa peke yangu,,,sihofii matatizo madogo madogo kama pancha coz tii hata mimi mwenyew naweza piga jeki na kubadili tairi peke angu ila kunajamaa alinishauri sio vzuri kutembea parefu hivyo peke yangu coz ikitokea kama ajari kidogo umezidiwa hakutakuwa na mtu hata wakupiga simu ,,,,

Sasa najua humu kuna watu wazoefu wakusafiri private basi ninaomba nijue uzoefu wenu katika kusafiri peke yako.asante
Kama chombo kipo vzr,na hauogopi tochi (speed monitor )za polisi wetu,safiri mchana,mwendo wa kitarihi,
 
piga service yako ya kutosha yaan engine,tyres na vingine ikibidi valisha tyres mpya dunlop,au yokohama ndiyo mwake kwani nina uzoefu nayo. safari yako isiwe kama mashindano safiri 80-90km per hour . acha kula machakula ya wanga njiani maji kahawa, chai, korosho na karanga ndo safi
 
Kama Mara ya kwanza jitahid sana usifunge vioo vya gari itakusaidia kujua gari inatembea kwa speed gani na wote walio kufa kwenye ajari wakiwa na magari binafsi walifunga vioo kwahiyo waliona gari kama haikimbii na kuongeza speed zaidi siku njema
 
kaka hongera sana nakutakia safari njema mkuu.cha muhimu beba maji mengi na ya kutosha then pia tembea kulingana na vibao vinavyoelekeza then kama utaweza kuangalia gari hasa joint zote ziko poa sawa.Then nunua pump ya kujaza kwa kutumia umeme wa gari ambayo ni nzuri then sali kwa kulingana na imani yako mkabidhi Mungu Maisha yako maana unaweza ukaendesha vizuri wewe ila mwenzio ikawa rafu . Nakutakia Safari njema Mungu awe na wewe
Asante mkuu umeongea kwa busara sana na umenipa wazo la pump ya umeme na sikuwazia hilo coz nategemeaga spare tyre na gari nilazima nilikagaue kabla ya safari na gari bado iko vzuri .asante sana
 
Nenda stand ya Mabus yanakoenda huko, tafuta mtu presentable mwenye muonekano mzuri then mpe lift, huna haja ya kum charge, na vyema kama wasafari kesho unaenda leo, ila awe mtu wa kueleweka, wakati wa kurudi hivyo hivyo...... 1000KM bila mtu wa kusemesha sio mchezo.
Oky mkuu asante kwa ushauri huo
 
Bro usiogope hapo pakawaida tu,piga gia,kwanza ukiwa peke yako huwez kusinzia kama mkiwa wawili,kama nilitoka boda ya burundi kupitia manyovu na vitz old model,saa 11 alfajiri nikatoboa dar saa nane usiku,peke yangu mapori yte utashindwa hapo karib tu bhaana na gar yko kubwa kuliko vitz?? Hakikisha tu hupakii pakii watu usiowafaham njiani
 
HATA MIMI NAKUSHAURI USISAFIRI USIKU. MAANA HATA UKIANGALIA MBELE WAKATI WA USIKU HUONI SANA KAMA MCHANA. KAMA WENGINE WALIVYOCOMMENT MCHANA UNAPATA MSAADA KULIKO USIKU.PIA KUMBUKA WAHENGA WALISEMA "WAWILI NI WAWILI TU" KAMA UTAPATA WA KWENDA NAYE NI BORA ZAIDI.
Unachosema ni kwel mkuu usiku mwanga sio wa kutosha na hata kama mbele hasa kwenye kona kuna lori limepata ajari limeziba barabara basi unaweza ukalipanda
 
Asante mkuu umeongea kwa busara sana na umenipa wazo la pump ya umeme na sikuwazia hilo coz nategemeaga spare tyre na gari nilazima nilikagaue kabla ya safari na gari bado iko vzuri .asante sana
kaka uwe na amani usiamini gari yoyote. Nenda kafanye overall check then ingia barabarani na ukiwa smart nenda opposite na trafic. mathalani ondoka saa tisa anza safari maana wengi hupenda kuanza saa kumi na moja hivyo utapata mda mzuri wa kuendesha without pressure.Mimi pekee nategemea kwenda kuhesabiwa ila nitaondoka opposite na wengine maana mwaka jana kuna vijana wajinga walinikosa kwa sababu walikuwa wanashindana
 
Kama Mara ya kwanza jitahid sana usifunge vioo vya gari itakusaidia kujua gari inatembea kwa speed gani na wote walio kufa kwenye ajari wakiwa na magari binafsi walifunga vioo kwahiyo waliona gari kama haikimbii na kuongeza speed zaidi siku njema[/

hii ina ukweli mkuu,akiwa vizuri ili asilale awashe AC hadi Mwisho
 
Kama chombo kipo vzr,na hauogopi tochi (speed monitor )za polisi wetu,safiri mchana,mwendo wa kitarihi,
Oky sawa mkuu kuhusu gari Limetimia i mean bima,stika,fire extinguisher,tairi isiovipara,rangi haijachoka,na speed huwa sipendelei sana,,,na hawa polisi wetu nikuongea nao tu mkuu
 
Habarini wakuu kunasafari ambayo inabidi nisafari mapema mwanzo mwa mwaka ujao nadhani itakuwa kati kati ya mwezi januari ambayo ntatoka dsm kwenda kusin mkoani ruvuma ila Cjawahi safiri umbali huo ( 1000km),umbali mrefu nilioenda mwenyew ni km 300

Sasa napendaga sana kusafiri na kagari kangu (grande mark ii) hiyo safari nitakuwa peke yangu,,,sihofii matatizo madogo madogo kama pancha coz tii hata mimi mwenyew naweza piga jeki na kubadili tairi peke angu ila kunajamaa alinishauri sio vzuri kutembea parefu hivyo peke yangu coz ikitokea kama ajari kidogo umezidiwa hakutakuwa na mtu hata wakupiga simu ,,,,

Sasa najua humu kuna watu wazoefu wakusafiri private basi ninaomba nijue uzoefu wenu katika kusafiri peke yako.asante
Mzee hujaitendea haki gari hii, Inaitwa GRANDE MARK II SIX CYLINDER, na huwa ina tabia ya kupuliza FUUUUU ukikanyaga mafuta. Mzee chuma unacho hii gari ni kiboko. Mimi nilikuwa nayo tena Manual, Dar Mwanza utafikiri umepnda ndege. mabasi haya ya mikoani unayapita kama yamesimama. Kipindi hicho Manyoni Singida mpaka kwenye daraja ilkuwa vumbi, walikuwa wanaita PODA, kilometre kama 40 hivi unatumia masaa matatu, mpaka wheel cap zilichomoka

Hii gari huwa siisahau ninapoikumbuka huwa inaniuma sana, nilikuja nikanyanganywa tu kwa nguvu na watu, unyonge kitu kibaya sana. Ilinyang'anywa makusudi na watu ikabidi niwaachie. Unajua kuna KUIBIWA na KUNYANG;ANYWA?. Kuibiwa na kunyang'anywa ni vitu viwili tofauti
 
kaka uwe na amani usiamini gari yoyote. Nenda kafanye overall check then ingia barabarani na ukiwa smart nenda opposite na trafic. mathalani ondoka saa tisa anza safari maana wengi hupenda kuanza saa kumi na moja hivyo utapata mda mzuri wa kuendesha without pressure.Mimi pekee nategemea kwenda kuhesabiwa ila nitaondoka opposite na wengine maana mwaka jana kuna vijana wajinga walinikosa kwa sababu walikuwa wanashindana
Oky sawa mkuu asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom