pipikijiti
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 309
- 406
- Thread starter
- #41
MeWewe ni ke au me?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MeWewe ni ke au me?
Asante mkuuKama Mara ya kwanza jitahid sana usifunge vioo vya gari itakusaidia kujua gari inatembea kwa speed gani na wote walio kufa kwenye ajari wakiwa na magari binafsi walifunga vioo kwahiyo waliona gari kama haikimbii na kuongeza speed zaidi siku njema
Kuna lami mwanzo mwishoKipande cha Masasi kwenda Ruvuma (Songea) kina lami?
Speed gauge haiwezi kumuonesha speed anayokwenda nayo?Kama Mara ya kwanza jitahid sana usifunge vioo vya gari itakusaidia kujua gari inatembea kwa speed gani na wote walio kufa kwenye ajari wakiwa na magari binafsi walifunga vioo kwahiyo waliona gari kama haikimbii na kuongeza speed zaidi siku njema
Kama ni me mbona unaogopa kuthubutu safari ya 1000 km ni ndogo sana,kama mimi dar-mza naenda peke yangu na aswa natembea usiku.
Safi sana mkuu unajimini vyakutosha safi,,,hivi dar mwanza ni km ngap?Kama ni me mbona unaogopa kuthubutu safari ya 1000 km ni ndogo sana,kama mimi dar-mza naenda peke yangu na aswa natembea usiku.
Almost1200 kmSafi sana mkuu unajimini vyakutosha safi,,,hivi dar mwanza ni km ngap?
Ushauri mzuri,ila mm nikienda taratibu ndio nachoka na naweza kusinzia.Poa basi hakikisha unapumzika Lindi alafu next day uendelee na safari. Najua umbali huo ni mrefu sana. Nimeshawahi kuendesha safri ndefu kama za Mza to Dar inafika kipindi unachoka kiasi kwamba hata jicho halitaki kuangalia mbele tena. So ni vyema ukapumzika njiani. Taratibu taratibu utakapozoea basi utakuwa unaweza kuunganisha safari. Pia hakikisha spidi yako haivuki mia. Ukikimbia wastani wa spidi mia, ndani ya masaa saba utakuwa umesafiri kilomita mia tano. So haina haja sijui ya kukanyaga kibati mpaka ifike 180! Huko ni kuhatarisha usalama wako na wa watu wengine. Slow slow but surely utafika salama.
Mkuu usimshauri hii kitu ni hatari sana..Nenda stand ya Mabus yanakoenda huko, tafuta mtu presentable mwenye muonekano mzuri then mpe lift, huna haja ya kum charge, na vyema kama wasafari kesho unaenda leo, ila awe mtu wa kueleweka, wakati wa kurudi hivyo hivyo...... 1000KM bila mtu wa kusemesha sio mchezo.
Lami ni kuanzia Daslama hadi unakanyaga SongeaKipande cha Masasi kwenda Ruvuma (Songea) kina lami?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hii ID yako imenichekesha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe ni ke au me?
Mkuu usimshauri hii kitu ni hatari sana..
Usi mbebe mtu usie mjua hata kama anaonekana malaika kwenye macho yako. Never
Hahahhahha inaonesha wewe naye ni shabiki wa wali ndondo[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hii ID yako imenichekesha sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bro usiogope hapo pakawaida tu,piga gia,kwanza ukiwa peke yako huwez kusinzia kama mkiwa wawili,kama nilitoka boda ya burundi kupitia manyovu na vitz old model,saa 11 alfajiri nikatoboa dar saa nane usiku,peke yangu mapori yte utashindwa hapo karib tu bhaana na gar yko kubwa kuliko vitz?? Hakikisha tu hupakii pakii watu usiowafaham njiani