Unaogea sabuni gani yenye manukato mazuri?

nikiwa sober, naogea radox
Drunk kama sasa naogea mbuni
 
Jaribuni kuogea na zile sabuni zenye madoa doa kutoka kigoma jamani! Home Sweet Home!

Dont try that at home! lol. utakoma na povu machoni, harufu yenyewe ile, hm! hm!
 
Nadhani utakuja kutuuliza tena "PUCHU" tunapenda kutumia sabuni gani
 
nikikosa omo naogea jiki zna harufu poa sana
 

Mimi kuoga kituo cha polisi, nadhani nahitaji msaada wako
 
Nakuoga nako huwa tunachagua sabuni??? Sikulijua hili ...
 
Jaribuni kuogea Spirit au ukikosa jaribu Konyagi
 
Nakuoga nako huwa tunachagua sabuni??? Sikulijua hili ...

dah mimi wa kwanza..nikitumia GIV mwili unaniwasha sanaaaa...silali usiku najikuna kama kichaa...sijui kuna dawa mule inanifanyia allergy ...natumia imperial mambo shwari..hehehe
 
dah mimi wa kwanza..nikitumia GIV mwili unaniwasha sanaaaa...silali usiku najikuna kama kichaa...sijui kuna dawa mule inanifanyia allergy ...natumia imperial mambo shwari..hehehe

Kama mimi Giv itakua na shida ile hata mi inanikataa na siku emperial zikitoweka sokoni sijui itakuaje maana ndo sabuni pekee inayonikubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…