Unapaswa ujue haya mapema kuhusu Binadamu

Unapaswa ujue haya mapema kuhusu Binadamu

Taikon leo umeongelea maisha yangu halisi Kabisaaa
Mfano wakati namaliza chuo niliahidiwa kazi mbele ya rafiki angu wa shida na raha kumbe jamaa hakufurahia baada ya mwaka nikiwa nimekosa ile kazi akafunguka kua siku nimeahidiwa kazi mbele yake hakulala usiku ivo alikesha akiomba mungu nisiipate na kweli alishukuru siku ipata... Aiseeeh nilibaki speechless 🤔🤔🤔


😀😀😀

Tuliomba sana. Tutumie ya sukari
 
Sorry Taikon,
Hivi hizi point ukiwamezesha mapema wanao si wanaweza badilika kuwa makauzu/gaidi.
Ama tukishazifanyia lamination pia tuseme "weka mbali na watoto"??

Hapana Mkuu Bali watakuwa watu watahadhari Sana, watu makini
 
Back
Top Bottom