Unapaswa ujue haya mapema kuhusu Binadamu

Unapaswa ujue haya mapema kuhusu Binadamu

100% fact, nilikua napenda sana kusaidia watu. Number 3 ikanikuta tena juzi juzi tu.
 
Na ndio utamu wa maisha ulipo.
Kwa hayo yote watu hupata ajira na vipato kuendeshea maisha.
 
Huu uzi sijui Kwa Nini nimesoma, itabidi nibadilike kabisa. Ubarikiwe
 
Dah ninatamani nitoe ushuhuda wa point nyingi ulizozitaja Hadi kunipelekea kubadilisha life style ingawa wanao nijua hawajui sababu.

Hawajui sababu kwa sababu sipendi kuongea mabaya ya watu nadhani point 13 inaelezea.
 
Dah ninatamani nitoe ushuhuda wa point nyingi ulizozitaja Hadi kunipelekea kubadilisha life style ingawa wanao nijua hawajui sababu.

Hawajui sababu kwa sababu sipendi kuongea mabaya ya watu nadhani point 13 inaelezea.

Pole Sana Mkuu
 
Nilikua na mwanangu huyo tulipiga wote kuanzia o-level, advance mpaka chuo. Yaani tulikua kama mapacha kila sehemu tuko pamoja.

Tulivyomaliza chuo tukaanza kusambaza cv pamoja, kila sehem tunaomba pamoja.

Sasa siku moja tuliitwa kwenye written interview ya shirika moja kubwa hapa nchini, ile interview ilikusanya watu wengi sana

Majibu kutoka mimi nimechaguliwa kwenda next stage ya oral interview lkn mshkaji wangu yeye kaachwa

Huwezi kuamini kuna mtu alikuja nitonya eti rafiki yangu analalmika kwanini mimi nimechaguliwa yeye kaachwa.

Ukweli niliumia sana,nikasema kwanini hakulalamika kuchaguliw kwa wale wengine asowajua ambao hata akikwama hawawezi kumsaidia chochote badala yake analalmika me kuchaguliwa wakati anajua kabisa mimi nikifanikiwa hata na yeye atapata unafuu.

Tangu siku hiyo nikasema rafiki wakweli kama yule aliyemuimba Langa R.I.P kwa dunia ya sasa hayupo.

Sina kinyongo na mshkaji wangu japo sasa hv tupo location tofauti lkn namwambia nikiwa na buku una haki ya kuniomba jero

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Nilikua na mwanangu huyo tulipiga wote kuanzia o-level, advance mpaka chuo. Yaani tulikua kama mapacha kila sehemu tuko pamoja.

Tulivyomaliza chuo tukaanza kusambaza cv pamoja, kila sehem tunaomba pamoja.

Sasa siku moja tuliitwa kwenye written interview ya shirika moja kubwa hapa nchini, ile interview ilikusanya watu wengi sana

Majibu kutoka mimi nimechaguliwa kwenda next stage ya oral interview lkn mshkaji wangu yeye kaachwa

Huwezi kuamini kuna mtu alikuja nitonya eti rafiki yangu analalmika kwanini mimi nimechaguliwa yeye kaachwa.

Ukweli niliumia sana,nikasema kwanini hakulalamika kuchaguliw kwa wale wengine asowajua ambao hata akikwama hawawezi kumsaidia chochote badala yake analalmika me kuchaguliwa wakati anajua kabisa mimi nikifanikiwa hata na yeye atapata unafuu.

Tangu siku hiyo nikasema rafiki wakweli kama yule aliyemuimba Langa R.I.P kwa dunia ya sasa hayupo.

Sina kinyongo na mshkaji wangu japo sasa hv tupo location tofauti lkn namwambia nikiwa na buku una haki ya kuniomba jero

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Huyo bado mwanao. Kuuliza kwa nini jamaa yangu kachaguliwa mimi nimeachwa siyo u snitch. Huenda alijua mtapata wote. Kifupi hakukosea kuuliza hivyo, wewe ndiye mbaya kwa sababu ulifikiria tofauti.

Jamaa yako ni mtu safi wala hana shida. Usimlishe tabia zisizo zake.
 
Nilikua na mwanangu huyo tulipiga wote kuanzia o-level, advance mpaka chuo. Yaani tulikua kama mapacha kila sehemu tuko pamoja.

Tulivyomaliza chuo tukaanza kusambaza cv pamoja, kila sehem tunaomba pamoja.

Sasa siku moja tuliitwa kwenye written interview ya shirika moja kubwa hapa nchini, ile interview ilikusanya watu wengi sana

Majibu kutoka mimi nimechaguliwa kwenda next stage ya oral interview lkn mshkaji wangu yeye kaachwa

Huwezi kuamini kuna mtu alikuja nitonya eti rafiki yangu analalmika kwanini mimi nimechaguliwa yeye kaachwa.

Ukweli niliumia sana,nikasema kwanini hakulalamika kuchaguliw kwa wale wengine asowajua ambao hata akikwama hawawezi kumsaidia chochote badala yake analalmika me kuchaguliwa wakati anajua kabisa mimi nikifanikiwa hata na yeye atapata unafuu.

Tangu siku hiyo nikasema rafiki wakweli kama yule aliyemuimba Langa R.I.P kwa dunia ya sasa hayupo.

Sina kinyongo na mshkaji wangu japo sasa hv tupo location tofauti lkn namwambia nikiwa na buku una haki ya kuniomba jero

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hapa naona wewe ndiyo umemkosea Rafiki yako kwa kuyapa kipaumbele maneno ya kuambiwa..
 
Back
Top Bottom