Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Naomba kuuliza wataalam, unapaswa upime mara ngapi kujua kama una ukimwi.

Jana nimempima mtu majibu yakaja positive ila yeye anasema kapima juzi ana negative, pia alipima last month alikua na negative. Tumeenda hospitali dokta akasema lazima majibu yathibitishwe na unigold test na kua hizi test nyingine zinaweza kua na majibu yasiyo sahihi, leo ndio nategemea kwenda kwenye unigold.

Nilishiriki na huyu mtu ngono juzi jumapili, baada ya haya majibu nilijawa na wasiwasi ikanibidi nimuombe dokta anianzishie pep, toka nimeshiriki nae ngono ilikua masaa kama 30 hadi kuanzia pep.

Je ni sahihi kuanza pep bila kufanya test ya pili? Ama nimewahi sana? Pia tulijipima wenyewe hotelini, dokta akasema inawezekana tumeweka sample ya damu nyingi kupita kawaida au tumefanya makosa mengine.

20191230_205150.jpg


Haya ndio majibu yake.

Updates 27/01/2020.
Jana nimemaliza siku 28 za PEP. Nimepima muda huu haya ndio majibu.
20200127_220016.jpg

Majibu kabla ya pep.
Screenshot_20200127-220717_Gallery.jpg
 
mkuu hivi vipimo ni changamoto sana, najiuliza hii kujipima bila elimu sahihi itatumaliza kimawazo.

juzi yuko (ve-) leo (ve+) daa hii ni changamoto sana.

Anza dawa japo wanasema zinaleta mawenge ila usiache wala kuogopa maana mawazo ya ngoma ni noma

usiache kutupa majibu ya kipimo kingine pia.
 
Kwel elimu inahitajika mno.... Maana inasemekana ukichelewa kusoma majibu ndan ya mda flan kama ulikua -ve bas mstari unaongezeka unasoma +ve, sasa kama mtu hajui atapanik inaweza leta madhara makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu we anza izo PEP kuishi kwa amani, mawazo juu ya HIV ni makubwa mno. yaani hapo mwenzako anatamani hata kukata moto maana anaona dunia imemgeukia.
 
Mkuu PEP unatakiwa uanze within 72 hours baada ya contact (muda unavyokuwa mdogo ndio outcome inakuwa vizuri zaidi kwahio ukihisi umeuza mechi sehemu hatari unaenda kupima ukikutwa neg unaanza pep as soon as possible)

Kuhusu kupima ukakuta huyo binti ni positive (kwakuwa hapa ni jf sitapepesa macho) huyo binti kama haujachanganya damu ya mtu mwingine ni +ve kweli.. kipimo hicho huwa kina specificity ya 99.6% na kutokana na research hio 0.4 iliyobaki ni kutokana na watu kuchanganya vipimo tu..
Kama umekuta positive ukienda kwenye unigold utakuta positive tu.
Hizo ngonjera za kupima juzi na kukuta negative unaingizwa mjini..
 
Mkuu PEP unatakiwa uanze within 72 hours baada ya contact (muda unavyokuwa mdogo ndio outcome inakuwa vizuri zaidi kwahio ukihisi umeuza mechi sehemu hatari unaenda kupima ukikutwa neg unaanza pep as soon as possible)

Kuhusu kupima ukakuta huyo binti ni positive (kwakuwa hapa ni jf sitapepesa macho) huyo binti kama haujachanganya damu ya mtu mwingine ni +ve kweli.. kipimo hicho huwa kina specificity ya 99.6% na kutokana na research hio 0.4 iliyobaki ni kutokana na watu kuchanganya vipimo tu..
Kama umekuta positive ukienda kwenye unigold utakuta positive tu.
Hizo ngonjera za kupima juzi na kukuta negative unaingizwa mjini..
mkuu kuna suala la kusoma nje ya muda dk 15-20 sijui 30 kuna la kuzidisha damu /yale maji pia.

kuna kesi 2-3 za watu kukutwa positive na kuanzishiwa dawa ili hali hawana maambukizi.

ko usiweke hitimisho kwamba kawaka kweli (japo % za kuwaka ni kubwa mno)
 
mkuu kuna suala la kusoma nje ya muda dk 15-20 sijui 30 kuna la kuzidisha damu /yale maji pia.

kuna kesi 2-3 za watu kukutwa positive na kuanzishiwa dawa ili hali hawana maambukizi.

ko usiweke hitimisho kwamba kawaka kweli (japo % za kuwaka ni kubwa mno)
Mtu kuanzishiwa dawa wakati hana ni kazi sana mkuu..
Maana inabidi apime vipimo viwili.. je vyote vilidanganya?? Labda kama walichanganya sample wakakosea wakamuwekea damu ya mtu mwingine.

Maana dawa hawaanzishi tu ukiwa positive kwa kipimo kimoja huwa wanaconfirm kwa unigold
 
Mtu kuanzishiwa dawa wakati hana ni kazi sana mkuu..
Maana inabidi apime vipimo viwili.. je vyote vilidanganya?? Labda kama walichanganya sample wakakosea wakamuwekea damu ya mtu mwingine.

Maana dawa hawaanzishi tu ukiwa positive kwa kipimo kimoja huwa wanaconfirm kwa unigold
hii kesi nahisi nilisoma imetokea Kenya mwanamama kameza arv kwa miaka 4 kumbe yuko negative na alikuwa anataka wafungulia kesi japo kutokea ni mara chache
 
hii kesi nahisi nilisoma imetokea Kenya mwanamama kameza arv kwa miaka 4 kumbe yuko negative na alikuwa anataka wafungulia kesi japo kutokea ni mara chache
Ndio ninakubali kesi ya hivyo inaweza kutokea..lakini ukiona imetokea basi kosa sio vipimo ni wapimaji...
Inawezekana walimchanganyia wakampa majibu yasiyo yake..
Fuatilia kama huyo mtu alishitaki kampuni ya kutengeneza vipimo au hosiptali?

Kuhusu kesi ya chief hapo juu.. kama jamaa alipima vizuri 99.6% huyo mtu yuko +ve
 
Mkuu PEP unatakiwa uanze within 72 hours baada ya contact (muda unavyokuwa mdogo ndio outcome inakuwa vizuri zaidi kwahio ukihisi umeuza mechi sehemu hatari unaenda kupima ukikutwa neg unaanza pep as soon as possible)

Kuhusu kupima ukakuta huyo binti ni positive (kwakuwa hapa ni jf sitapepesa macho) huyo binti kama haujachanganya damu ya mtu mwingine ni +ve kweli.. kipimo hicho huwa kina specificity ya 99.6% na kutokana na research hio 0.4 iliyobaki ni kutokana na watu kuchanganya vipimo tu..
Kama umekuta positive ukienda kwenye unigold utakuta positive tu.
Hizo ngonjera za kupima juzi na kukuta negative unaingizwa mjini..
Hatukuchanganya damu, labda damu na maji ndio niliweka nyingi.
 
Ndio ninakubali kesi ya hivyo inaweza kutokea..lakini ukiona imetokea basi kosa sio vipimo ni wapimaji...
Inawezekana walimchanganyia wakampa majibu yasiyo yake..
Fuatilia kama huyo mtu alishitaki kampuni ya kutengeneza vipimo au hosiptali?

Kuhusu kesi ya chief hapo juu.. kama jamaa alipima vizuri 99.6% huyo mtu yuko +ve
pia kwa hawa yawezekana wakakosea taratibu kama kusoma majibu nje ya muda, kuweka sample nyingi (kwa maelezo ya mleta bandiko)

ila kuna kesi 2-3 moja nimeisoma humu kwa muhusika kupima negative baada ya lisaa kipimo kikaweka mistari mi 3

hiki kipimo kina changamoto ndo maana kikawepo kipimo chakuhakiki majibu baada ya hiki
 
Mtu kuanzishiwa dawa wakati hana ni kazi sana mkuu..
Maana inabidi apime vipimo viwili.. je vyote vilidanganya?? Labda kama walichanganya sample wakakosea wakamuwekea damu ya mtu mwingine.

Maana dawa hawaanzishi tu ukiwa positive kwa kipimo kimoja huwa wanaconfirm kwa unigold
Hatukupiama vyote viwili, tulitumia kimoja tu na ndio kinaonyesha hayo majibu.

Kama ni makosa labda kuweka damunyingi na yale maji mengi tu.
 
Mkuu PEP unatakiwa uanze within 72 hours baada ya contact (muda unavyokuwa mdogo ndio outcome inakuwa vizuri zaidi kwahio ukihisi umeuza mechi sehemu hatari unaenda kupima ukikutwa neg unaanza pep as soon as possible)

Kuhusu kupima ukakuta huyo binti ni positive (kwakuwa hapa ni jf sitapepesa macho) huyo binti kama haujachanganya damu ya mtu mwingine ni +ve kweli.. kipimo hicho huwa kina specificity ya 99.6% na kutokana na research hio 0.4 iliyobaki ni kutokana na watu kuchanganya vipimo tu..
Kama umekuta positive ukienda kwenye unigold utakuta positive tu.
Hizo ngonjera za kupima juzi na kukuta negative unaingizwa mjini..
Nilianza jana ilikua imepita masaa 29 toka nimekutana nae. Sijui like hood ikoje ila niliamua kuanza kabla ya majibu ya pili ya unigold.
 
Ukisoma baada ya dk zaid ya 20 mara nyingi husoma positive ila kama mfuatiliaji mzuri mstari wa positive na hiyo inayotokea baada ya dk 20 ni tofauti kabisa kama huo wa mtoa mada ni positive haina ubishi.
Kwel elimu inahitajika mno.... Maana inasemekana ukichelewa kusoma majibu ndan ya mda flan kama ulikua -ve bas mstari unaongezeka unasoma +ve, sasa kama mtu hajui atapanik inaweza leta madhara makubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom