Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

Kabisa hiyo ni positive atumie Pep kwa usahihi tuone itakuaje
Mkuu PEP unatakiwa uanze within 72 hours baada ya contact (muda unavyokuwa mdogo ndio outcome inakuwa vizuri zaidi kwahio ukihisi umeuza mechi sehemu hatari unaenda kupima ukikutwa neg unaanza pep as soon as possible)

Kuhusu kupima ukakuta huyo binti ni positive (kwakuwa hapa ni jf sitapepesa macho) huyo binti kama haujachanganya damu ya mtu mwingine ni +ve kweli.. kipimo hicho huwa kina specificity ya 99.6% na kutokana na research hio 0.4 iliyobaki ni kutokana na watu kuchanganya vipimo tu..
Kama umekuta positive ukienda kwenye unigold utakuta positive tu.
Hizo ngonjera za kupima juzi na kukuta negative unaingizwa mjini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mistari wa positive na inayotokea nje ya muda ni tofauti kabisa inajulikana bila kupepesa macho.
mkuu kuna suala la kusoma nje ya muda dk 15-20 sijui 30 kuna la kuzidisha damu /yale maji pia.

kuna kesi 2-3 za watu kukutwa positive na kuanzishiwa dawa ili hali hawana maambukizi.

ko usiweke hitimisho kwamba kawaka kweli (japo % za kuwaka ni kubwa mno)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisoma baada ya dk zaid ya 20 mara nyingi husoma positive ila kama mfuatiliaji mzuri mstari wa positive na hiyo inayotokea baada ya dk 20 ni tofauti kabisa kama huo wa mtoa mada ni positive haina ubishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe inakua tofauti,hapo ndo wengi hatuelewi huku kujipima kienyej bila ujuzi ni hatari bas.

Pole kwa mtoa mada ila bora ameanza PEP mapema,atakua sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilianza jana ilikua imepita masaa 29 toka nimekutana nae. Sijui like hood ikoje ila niliamua kuanza kabla ya majibu ya pili ya unigold.
Unafanya unigold kama uko positive tu...kama uko negative na uko exposed unameza PEP tu..
Na kwa case yako umemeza baada ya masaa 29 outcome yake itakuwa nzuri tu..

Halafu kupata HIV sio easy hivyo labda kama ulikamia show ukapiga bao za mwendo kasi
 
Cheki hapo
sijawahi iona nielekeze inakuwaje
IMG_20191231_095003.jpeg
IMG_20191231_094914.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafanya unigold kama uko positive tu...kama uko negative na uko exposed unameza PEP tu..
Na kwa case yako umemeza baada ya masaa 29 outcome yake itakuwa nzuri tu..

Halafu kupata HIV sio easy hivyo labda kama ulikamia show ukapiga bao za mwendo kasi
Sikukamia show, nina kawaida ya kutumia maji kulainisha ili kupunguza mchubuko, nikifanya na demu simuelewi hua najikondition kukojoa ndani ya dakika moja. Na ndivyo nilifanya goli la kwanza, goli la pili ni kama nililiunganisha na k ilikua imelowana sana sababu ya shahawa nilizokojoa ndani kwa goli la kwanza, so niliingiza tu bila shida na kukojoa fasta.

Sema nikataka niwe na uhakika wa afya yake ili niwe nasimamia show ya maana ndio nikamuomba nimpime, majibu yake yakawa hayo, nikakimbia hospitali faster jana na kuanza pep.
 
Mkuu PEP unatakiwa uanze within 72 hours baada ya contact (muda unavyokuwa mdogo ndio outcome inakuwa vizuri zaidi kwahio ukihisi umeuza mechi sehemu hatari unaenda kupima ukikutwa neg unaanza pep as soon as possible)

Kuhusu kupima ukakuta huyo binti ni positive (kwakuwa hapa ni jf sitapepesa macho) huyo binti kama haujachanganya damu ya mtu mwingine ni +ve kweli.. kipimo hicho huwa kina specificity ya 99.6% na kutokana na research hio 0.4 iliyobaki ni kutokana na watu kuchanganya vipimo tu..
Kama umekuta positive ukienda kwenye unigold utakuta positive tu.
Hizo ngonjera za kupima juzi na kukuta negative unaingizwa mjini..
Maelezo mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nadhani yote yanawezekana tu mqana kama muda wa kuonyesha majibu ya uadhirika ulikuwa haujafika basi hiyo siku ya mwisho kupima ndio hasaa pengine toka alipokutana na mtu huko alikotoka aliambukizwa hivyo mlipo pima nyie huko hotelini ule muda wa kuonekana vidudu ul8kuwa haujafika, hivyo mlipo pima tena kwa dokta ndio ule muda ulikuwa umesha fika ndio maana majibu yakaja hivyo,

Kama unavyo jua kwamba unaweza kupata virus leo na kesho ukqpima visionekane ,

Nakushauri anza pep mapema iwezeoanavyo
 
Sikukamia show, nina kawaida ya kutumia maji kulainisha ili kupunguza mchubuko, nikifanya na demu simuelewi hua najikondition kukojoa ndani ya dakika moja. Na ndivyo nilifanya goli la kwanza, goli la pili ni kama nililiunganisha na k ilikua imelowana sana sababu ya shahawa nilizokojoa ndani kwa goli la kwanza, so niliingiza tu bila shida na kukojoa fasta.

Sema nikataka niwe na uhakika wa afya yake ili niwe nasimamia show ya maana ndio nikamuomba nimpime, majibu yake yakawa hayo, nikakimbia hospitali faster jana na kuanza pep.
Basi usiwaze mkuu.
Endelea kumeza hizo PEP hata kama kuna ugumu na watu wengi wanaacha kumeza..
Lakini jitahidi umalize dozi.. maana kama kweli uko exposed usipomeza utakuja kumeza maisha yako yote
 
Basi usiwaze mkuu.
Endelea kumeza hizo PEP hata kama kuna ugumu na watu wengi wanaacha kumeza..
Lakini jitahidi umalize dozi.. maana kama kweli uko exposed usipomeza utakuja kumeza maisha yako yote
Mkuu leo nampeleka muhisika kupima unigold, je akikuta ni negative natakiwa kuacha pep? Kuna madhara naweza kupata ?
 
Back
Top Bottom