Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

Unapaswa upime mara ngapi kuthibitisha majibu ya UKIMWI?

hahahaha hivi vipimo vitakuja kutuua kwa presha, kama kimebaki muda mchache kuisha muda wake kinasoma ve+ kama hakina akili nzuri (uchunguzi wangu) ukisoma nje ya muda hakikawii kuweka mistari mi 3

kujipima huku kutakuja kutuua, pole sana kwa dogo mkuu lazima bado ana mawenge kwa majibu yale.

Weee acha mkuu, Kwanza hatukuamini walichukua na damu ya kwenye mshipa wakaipeleka kufanya maabara huko kujiridhisha tukaja kuchukua majibu -Ve.
Dogo akipiga simu amekuwa mtiifu maana angeanza dozi mzima mzima yaani.
 
Pole sana mkuu naamini mambo yalienda sawa na umemaliza salama PEP maana nasikia zina maseke sanaa
Naomba kuuliza wataalam, unapaswa upime mara ngapi kujua kama una ukimwi.

Jana nimempima mtu majibu yakaja positive ila yeye anasema kapima juzi ana negative, pia alipima last month alikua na negative. Tumeenda hospitali dokta akasema lazima majibu yathibitishwe na unigold test na kua hizi test nyingine zinaweza kua na majibu yasiyo sahihi, leo ndio nategemea kwenda kwenye unigold.

Nilishiriki na huyu mtu ngono juzi jumapili, baada ya haya majibu nilijawa na wasiwasi ikanibidi nimuombe dokta anianzishie pep, toka nimeshiriki nae ngono ilikua masaa kama 30 hadi kuanzia pep.

Je ni sahihi kuanza pep bila kufanya test ya pili? Ama nimewahi sana? Pia tulijipima wenyewe hotelini, dokta akasema inawezekana tumeweka sample ya damu nyingi kupita kawaida au tumefanya makosa mengine.

View attachment 1307932

Haya ndio majibu yake.

Updates 27/01/2020.
Jana nimemaliza siku 28 za PEP. Nimepima muda huu haya ndio majibu.
View attachment 1337586
Majibu kabla ya pep.
View attachment 1337595

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu naamini mambo yalienda sawa na umemaliza salama PEP maana nasikia zina maseke sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Pep walizonipa kidonge kimoja hazikua na madhara ya sana kwangu, siku za mwanzo kichwa kilikua kinauma kwa mbali mara moja moja na kuharisha mara moja moja ila baadae nikawa sawa. Sema sometimes mwili unawasha washa hasa kwenye misuli ya tumbo ila ni kwa vipindi vifupi vifupi.

Niseme tu kua kwangu sikuona side effects nyingi au kubwa sana. Nimemaliza salama nsio jana nikapima majibu yakawa hayo basi naendelea kula good time.

Dokta aliniambia pep za sasa hazina madhara kama za zamani, akasema kama miezi 4 iliyopita ndio walileta pep mpya ambazo side effects zimekua minimised sana ila kabla ya hapo zilizokuwepo ilikua ni balaa, ndoto mbaya, kuchoka, kuweweseka nk.

Tatizo kubwa ni ile feeling kua nini kitatokea baada ya pep ndio kinaleta shida, kwamba unameza pep alafu mwishoni unakuta hakuna matokeo mazuri.
 
Pep walizonipa kidonge kimoja hazikua na madhara ya sana kwangu, siku za mwanzo kichwa kilikua kinauma kwa mbali mara moja moja na kuharisha mara moja moja ila baadae nikawa sawa. Sema sometimes mwili unawasha washa hasa kwenye misuli ya tumbo ila ni kwa vipindi vifupi vifupi.

Niseme tu kua kwangu sikuona side effects nyingi au kubwa sana. Nimemaliza salama nsio jana nikapima majibu yakawa hayo basi naendelea kula good time.

Dokta aliniambia pep za sasa hazina madhara kama za zamani, akasema kama miezi 4 iliyopita ndio walileta pep mpya ambazo side effects zimekua minimised sana ila kabla ya hapo zilizokuwepo ilikua ni balaa, ndoto mbaya, kuchoka, kuweweseka nk.

Tatizo kubwa ni ile feeling kua nini kitatokea baada ya pep ndio kinaleta shida, kwamba unameza pep alafu mwishoni unakuta hakuna matokeo mazuri.
So mlipima baada ya mechi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fresh mkuu hata dawa za arv niliona waziri Ummy akizinadi dawa mpya ambazo hazina maudhi sana.

Hizo hisia za kuwaza ninao au sina ndo mbaya kuliko maana lazima uwe bored ukikumbuka hiloo

Glory to God
Pep walizonipa kidonge kimoja hazikua na madhara ya sana kwangu, siku za mwanzo kichwa kilikua kinauma kwa mbali mara moja moja na kuharisha mara moja moja ila baadae nikawa sawa. Sema sometimes mwili unawasha washa hasa kwenye misuli ya tumbo ila ni kwa vipindi vifupi vifupi.

Niseme tu kua kwangu sikuona side effects nyingi au kubwa sana. Nimemaliza salama nsio jana nikapima majibu yakawa hayo basi naendelea kula good time.

Dokta aliniambia pep za sasa hazina madhara kama za zamani, akasema kama miezi 4 iliyopita ndio walileta pep mpya ambazo side effects zimekua minimised sana ila kabla ya hapo zilizokuwepo ilikua ni balaa, ndoto mbaya, kuchoka, kuweweseka nk.

Tatizo kubwa ni ile feeling kua nini kitatokea baada ya pep ndio kinaleta shida, kwamba unameza pep alafu mwishoni unakuta hakuna matokeo mazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakwepa Ngoma unakufa na Airplane Crush kama Kobe Bryant
 
Mkuu tuache kukariri kuwa ngoma inapita kwenye michubuko tu. No haiko hivyo. Kwenye viungo vyetu vya uzazi Kuna kitu kinaitwa mucus membrane, hii Ni njia nyingine ambayo virusi hupita during sex.
Mucus membrane Ni Ute pamoja na eneo lile lenye ngozi laini na lenye unyevu nyevu muda wote kwenye viungo vya uzazi wa mwanaume na mwanamke. Kwa mwanamke anakuwa kwenye hatari zaidi kutokana na kuwa na eneo kubwa la unyevunyevu kuliko mwanaume.

Utafiti unaonyesha hii ndio njia kubwa inayopitisha virusi during sex na sio michubuko pekee.

So mtoa mada amefanya maamuzi sahihi kutokutegemea michubuko ndio apime

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukrani sana, mkuu, elimu kubwa hii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Fresh mkuu hata dawa za arv niliona waziri Ummy akizinadi dawa mpya ambazo hazina maudhi sana.

Hizo hisia za kuwaza ninao au sina ndo mbaya kuliko maana lazima uwe bored ukikumbuka hiloo

Glory to God

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pep au prep ni zile zile arv/art ambazo wagonjwa wa ukimwi wanatumia. Ukienda kupewa pep unapewa dawa za wagonjwa wa ukimwi.
 
Back
Top Bottom